Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,099
- 165,285
huyo ni mpenda maendeleo....
angeomba kwa mungu azaliwe YOKOHAMA
huyo ni mpenda maendeleo....
mkuu unajua tofauti ya neno WENGI na WOTE
Anajijua ye ni mmoja kati ya wale wanawake wasiopenda kuolewa na wanaume wasio na magari,kama huna gari we si mwanaume na hutakiwi kuwa na mke. Makubwa!
Mi mbona sioni tatizo na hyo post yake? Fact..myself I cnt imagn tht woman who married a man without a car
zamda
kuna wanawake wanaopenda kuolewa na wanaume wenye magari na wale wasiopenda kuolewa na wanaume wenye magari .......??????
samahani lakini wewe mrembo uko kundi gani .....
unapenda kidume chenye kivitz cha mkopo.....
Sema mmoja wengi wangapi wameandika?
Mi mwanaume ni yule mwenye akili ya kutafuta na mipango ya maendeleo,sijali km huna gari,gari la mkopo halafu unapaki kwenye nyumba za watu au ofisi ya ccm ndo nini?
mkuu miss chagga mpaka kufikia "conclusion"hii ni kwamba nimeunganisha vioja mbalimbali
kiuhalisia vioja hivyo ni kichaa peke yake anaweza kuvifanya ....
lakini mkuu kuna gazeti pendwa lilitoka wiki hii yenye kichwa cha habari "Dar watu wengi ni MACHIZI" sijui na hapo umeelewa nini
lakucha mae .......
Na we ni mwehu mtu mmoja ndo u generalize wote watu wengine bwana mhhhhhhhhh! Ni shiiiiiiider
ur very intelligent[
Asante Kilaza
kwa maana hiyo hata mama yako aliyokunyonyesha ni kichaa?
nawaheshimu sana wakina mama.
wewe umeishia langapi
Mi mwanaume ni yule mwenye akili ya kutafuta na mipango ya maendeleo,sijali km huna gari,gari la mkopo halafu unapaki kwenye nyumba za watu au ofisi ya ccm ndo nini?