Unacheka nnha haha haaaa
Watapita kweli, but you can't notice them[emoji23]Haya vimbau mbau watapita hapa
Hiyo atakuwa anaongelea uflat, alafu maustadh si huvaa kanzu!Yaani kwamba Maustadh ni vimbaumbau.
Kwamba kuna watu wanachanganyikiwa na haya matamko yenu?!!!!Wanaume tusiwachanganye wanawake. Kila siku tunakuja na matamko mapya wanashindwa wasimame upande upi?
Ushauri kwa wanawake, mjikubari jinsi mlivyo usitake kumvutia kila mtu(mwanaume).
Elewa kuna mwanaume unamvutia hivyo hivyo jinsi ulivyo.
Huvaa kanzu ila wengi kanzu huwavaa...Hiyu ayakuwa anaongelea uflat, alafu maustadh si huvaa kanzu!
ume nichekesha kwa yale maneno yko""Unacheka nn
Ndiyo mkuu tena sana tu.Kwamba kuna watu wanachanganyikiwa na haya matamko yenu?!!!!
Wapo wengi tuu. Sasa hivi wameongeza kula saana ili wanenepe.Kwamba kuna watu wanachanganyikiwa na haya matamko yenu?!!!!
Duuuh!!!Ndiyo mkuu tena sana tu.
Hahahaaaa!!! Basi kazi ipo.Wapo wengi tuu. Sasa hivi wameongeza kula saana ili wanenepe.
Haya ni mawazo ya mwanaume masikini wa kiafrika aliyekulia kwenye mazingira duni hasa uswahilini huko ambako wanawake wanashindana kuonesha makalio kwenye vile mnavyoviita vigodoro.Hivi mwanamume mwenye akili timamu aliesoma mwenye dira ya kimaisha unaenda kuoa mwanamke kimbau kisa ni msomi au anasura nzuri.
Mwanamke mwembamba hawezi kuwa kwenye bonge la nyumba akaonekana ni mama mwenye nyumba huonekana kama msichana wa kazi tu.
Unatembelewa na rafiki yako anaingia sebuleni anamkuta kimbau kinapebea kwenye makochi, yani ukiwakuta wamekaa kwenye kochi utadhani ni msichana wa kazi, haya sasa aingie kwenye gari mnaenda kanisani anakaa robo siti yani kuna wakati unafikiri uko peke yako.
Mtu akikuomba lifti ukisimama anafungua mlango wa mbele akidhani uko pekee yako, akifungua wala kumbe kuna mtu.
Mnatakiwa mbadilike kulingana na tunavyotaka muweUna unalolitafuta aisee mtupishe jamani, tukibaki vibonhe mnatusema, tukijikondesha bado mnatunanga.... Daah