Wanawake wawili wazuri kuliko wote duniani

Wanawake wawili wazuri kuliko wote duniani

huyo si kama wema sepetu tu!hakuna kitu hapo

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kwa mtizamo wa ki middle east huyo kweli ni mzuri,but globaly am not convinced.ni wa kawaida sana.kuna latinos kule south america ni balaa.
 
yah huyo mdada kwel ndo huwa anatambulishwa kama mzur kuliko wote dunian, bt mim huwa sielew ni vigezo vip vinatumika kulithibitisha hilo!...je ni sura tu au waliangalia na vingne kama umbo na vip hana maj?...sorr
 
anaweza kuwa mzuri kwa uarabuni, ila kwa duniani hapana, hapo hujaweka shepu yake ujue, na akitoa make ups je? maana uzuri wa mwanamke unautambua pale akiwa na make up anapendeza na hata akiwa hana make up ndo anatoka bomba zaidi, so weka na ambazo hana make up then ukweli utajiweka wazi tuu.
Otherwise she is beauty but not top in the world, I dare to correct that.
 
MziziMkavu black is beautiful, always!

straight-black-hair-up-do.jpg


black-woman-portrait.jpg



Gabourey-Sidibe.jpeg



gabourey_sidibe.jpg
 
Haya tuendelee
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373698456002.jpg
    uploadfromtaptalk1373698456002.jpg
    43.9 KB · Views: 276
  • uploadfromtaptalk1373698467621.jpg
    uploadfromtaptalk1373698467621.jpg
    34.1 KB · Views: 251
  • uploadfromtaptalk1373698477068.jpg
    uploadfromtaptalk1373698477068.jpg
    33.2 KB · Views: 276
  • uploadfromtaptalk1373698489874.jpg
    uploadfromtaptalk1373698489874.jpg
    15.8 KB · Views: 252
  • uploadfromtaptalk1373698501309.jpg
    uploadfromtaptalk1373698501309.jpg
    39.2 KB · Views: 259
  • uploadfromtaptalk1373698520297.jpg
    uploadfromtaptalk1373698520297.jpg
    38.6 KB · Views: 244
  • uploadfromtaptalk1373698532345.jpg
    uploadfromtaptalk1373698532345.jpg
    32.5 KB · Views: 261
  • uploadfromtaptalk1373698544866.jpg
    uploadfromtaptalk1373698544866.jpg
    41.7 KB · Views: 228
  • uploadfromtaptalk1373698560795.jpg
    uploadfromtaptalk1373698560795.jpg
    36.5 KB · Views: 228
  • uploadfromtaptalk1373698570665.jpg
    uploadfromtaptalk1373698570665.jpg
    32.4 KB · Views: 234
Sasa tunaoana macho,mashavu,pua yaani vya usoni tu!!! Then tuseme wazuru!!!aagrhrr!!

Mie huyu ndie mwanamke mzuri sana na mbegu bora kabisa!!

serena5.jpg
 
Huko kwa hawa wanawake wazuri ndiko Roullette alikopata avatar yake!
 
Last edited by a moderator:
Chooni wanaenda? Au wakati wa period wanatoa asali?

Hata akina wema sepetu alikua eti ni mturi kuliko wote tz, na akawakilisha taifa kwa kubeba bendera kabisa.

Afu hivyo vidoti karibu na mdomo siku izi ni fashion? make nshaona maduu wakiviweka.
mwanamke k bwana unaweza kukuta huyu huko chini ni mto nile au misuli imelegea... au unasemaje mkubwa
 
Mimi ningewaona wakiwa watupu kama walivyo zaliwa na bila addition ya kitu chochote (makeup) ningekoment ila to me wakawaida sana
 
hiyo mitambo ya nyuklia ya mwisho umeitoa wapi? wakitoa ushuzi dunia inaongeza speed ya kuzunguka wallah tena! khaaa aisee... sili tena

Hahahah.... Smile mamito.
Ila ndio mama zetu hawa.
gabourey-sidibe1.jpg


gabourey-sidibe.jpg
 
Last edited by a moderator:
Beauty is subjective...Mama yangu ndiye mzuri kwa kipimo changu!
<quickprintreadystate style="display: none;"></quickprintreadystate>
 
Back
Top Bottom