alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 280
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hata shinyanga wapi
siamin katika hili kila mtu ana uzuri wake
sura yake nzuri sawa je chini mbona hujatuonyesha?
weupe tu ndo huwa wazuri katika hii dunia, hii dunia aaaaghr?
mnatufanya tutumie mkorongo kwani kila mwanamke mrembo ni mweupe
naomba majibu ya kuridhisha mleta mada zingatia sana hapo kwenye nyekundu
mwisho:uzuri si shani bora tabia
Uzuri ni uzuri na hauwezi ukapitwa na tabia
iyo nzuri kwani uzuri sio dili bali tabia au sijakuelewa mkubwa!
Tabia inaeweza kuigwa ama kubadilishwa lakini si uzuri
Nimeipenda hii, lakini kumbuka kuwa hakuna mwanamke mzuri Duniani kuliko Sarah, Mke wa nabii Ibrahim. Na hayupo mwanamke aliopewa daraja la juu kuliko Mariam, mama yake Issa (Yesu)
ni wazuri ila hawamfikii my wife,
lkn tuseme ukweli ukiacha meke up uso wake ni mzuri sana, shapes ya pua, macho na lips ni excellent
unaakili sanaMziziMkavu black is beautiful, always!
Hata Chang'ombe hapa Dodoma wapo