Wanawake wawili wazuri kuliko wote duniani

Wanawake wawili wazuri kuliko wote duniani

WANAWAKE WAWILI WAZURI KULIKO WOTE DUNIANI





fat8.jpg

fat5.jpg
fat6.jpg

fat7.jpg

fat1.jpg
fat2.jpg
fat3.jpg
fat4.jpg




fatima1.jpg

fatima2.jpg

Fathima Kulsum Zohar Godabari who was once a royal Princess is now an official Queen in Saudi Arabia.
She was recently photographed without niqab covering her face and the pictures were published on the internet, exposing her beautiful facial features to the world for the first time.
Since the release of the pictures, many have argued her to be the most beautiful woman on earth.



















Ni wazuri ila huwezi kukonclude kuwa ndo wazuri kuliko wote duniani mana kuna vfaa vya kiafrika vmetulia somewhere huwezi amini!
 
lkn tuseme ukweli ukiacha meke up uso wake ni mzuri sana, shapes ya pua, macho na lips ni excellent
ukweli ni HAPANA hakuna Mwanamke mzuri Duniani zaidi ya Mke
Tuliulizwa swali hilo Chuoni na Mwl wa Sociology na wote tulikosa, wapo waliotaja Queen Eliza, Imelda Marcos, Winnie Mandela, Hema Malini, Rekha nk nona Mzizi Mkavu anawajua wengi lakini hawana tofauti na Mama yetu Hawa (Eva) wa Adam
Mke ndiye anayejua mume anataka nini, na amekasirika au nimuwekeeje make-up au nitinde nyusi vp
mfano nimelazwa Hospital mke ndiye atakayenitafutia chupi ipi (Hivi huyo mrembo wa Dunia atajaniuguza?)
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu kusema ukweli kama ni uzuri tu mabinti ni wazuir tu tena sana,yaani wazuri wa haja ila wazuri wa dunia hapo mmhhhh hapana bwanah wazuri ni wengi sana hivi kwamba ukisema uwapange wote umchague mmoja utaishia kuchanganyikiwwa kwani utamuona kila mmoja ni mzuri,kwa ufupi namaanisha hakuna mwanamke wala mwanaume mzuri kuliko wenzie dunia nzima kwani kila mmoja ana uzuri wake ambao mwenzie hana.
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hii, lakini kumbuka kuwa hakuna mwanamke mzuri Duniani kuliko Sarah, Mke wa nabii Ibrahim. Na hayupo mwanamke aliopewa daraja la juu kuliko Mariam, mama yake Issa (Yesu)
Hii mamake yesu nakubali mkuu, hebu tuwekee picha ya Sarah ili tujiridhishe bac
 
dah hawajanivuta kabisa
bora ungesema Angelina Jolie
Angelina-Jolie.jpg
au Kerry Washington
Kerry-Washington.jpg
 
sikatai ni mzuri lakini mke wangu sijawahi kuona mwanamke wa kumzidi ila tu sio maarufu basi hapo ndo nimeponea. mara nyingi watu wanamuuliza jamaa alikupataje na hata mimi wada wengi walishaniuliza ulimpataje huyu. kitu ulichonacho usipoamini ni kizuri hakuna atakekuaminisha
 
gfsonwin hata mimi ni mzuri sana
Nauliza hizo kope ni zake au ni zile za akina uwoya

Kope za kubandika halafu anakipara! Hamna kitu hapo Royal Account tu ndio inamuweka mambo sawa. Angekua anaishi kimanzichana MziziMkavu asingeleta picha yake humu.
 
kwa hizi picha,wazuri sanaaa..ila tokea nione picha za Aishwarya Rai who was said to be the most beautiful woman on earth without make up mh!
 
Back
Top Bottom