love b
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 2,155
- 3,163
Nitakuja pm kukufafanulia
Maana si madogo
Na bado zipo nyingi tu
Kama ni baskeli kaa kwenye bomba ya mbele
mh! Hii hamasa ya kutaka kujua isije tu ikanitokea puani!Nitakuja pm kukufafanulia
Maana si madogo
Na bado zipo nyingi tu
Kama ni baskeli kaa kwenye bomba ya mbele
mh! Hii hamasa ya kutaka kujua isije tu ikanitokea puani!Kha! Ila nyie!Umesahau na popo kanyea mbalamwezi ni noma mkuu
Usijali hakuna kitakachoharibika![]()
![]()
![]()
mh! Hii hamasa ya kutaka kujua isije tu ikanitokea puani!
teh teh teh teh teh.....! mimi hzi mada nazpenda kwel kweli nipo tayar nisiende kula hata kama kengere imelia.
Kabisaaaaa. Yaani mzijali tu ili wote tupate hiyo raha na sio mmoja kakunjwa na kubaki kusikilizia maumivu huku mwingine anafurahia kumkunja mwenzie.

Nakuunga mkono.![]()
![]()
ndio hivyo best.
Hahahaaaa. Kabisaaaa.Nakuunga mkono.
Mwanamke akiandaliwa vizuri alafu mwanaume akawa anaujua mchezo vyema, wala hakutakuwa na haja ya kumwambia geuka au kaa hivi au vile..... Kwa ishara kidogo tu unakuta ameshageuka

Simba mwenda pole ndio mimi hapaHahahaaaa. Kabisaaaa.
Ila kumbe na weye umo lol.![]()
![]()

Hahaaa. Haya bana best.Simba mwenda pole ndio mimi hapa![]()
![]()
![]()
Mpaka awe na mbegu zakutosha tena?Tafuta kabila linaitwa Wazigua wanapatikana kwa wingi Handeni mkoani Tanga huwezi kujijutia
Tafadhali kama huna mbegu za kutosha usiende
Mwenzangu acha wakiangalia huko sasa wanakuja kwenye practical workMmmh. Mie naona kikubwa ile raha ipatikane tu hizo kunja kunja zaweza kuwepo ila badala ya raha ikageuka kuwa karaha.
Pia punguzeni kuiga kwa wazungu sababu wale wanafanya biashara.

Penye miti mingi hapanaga wajenziHao family material. Wanaheshima, hawachepuki hovyo ni rahisi kupata mimba, hawajawekeza kwenye kujiremba na kufanya mapenzi na mapenzi yao ni kwa lengo la kupata watoto, ni hard worker na si wa garama, wana uwezo wa kuishi maisha ya mjini na vijijini. Sasa wewe komaa na hao wakata viuno na kuchwa kujiremba siku maisha ya mjini yashindikane kwako na utatakiwa urudi kijikini ndio utajua maarage sii mboga, hakukupenda wewe ila alipenda pesa zako
Siku yeye kachoka naye mwenzie ataenda kutafuta wakumpa hizo styleKabisaaaaa. Yaani mzijali tu ili wote tupate hiyo raha na sio mmoja kakunjwa na kubaki kusikilizia maumivu huku mwingine anafurahia kumkunja mwenzie.
Si umeongelea hapa leta ufafanuzi hapa hapa tunafuatilia wengiNitakuja pm kukufafanulia
Maana si madogo
Na bado zipo nyingi tu
Kama ni baskeli kaa kwenye bomba ya mbele
Mwingine huyuUmesahau na popo kanyea mbalamwezi ni noma mkuu
Hivi siku hizi kuna GPAUkikua utaacha mtu bado kanafunzi kanafatilia mambo ya wakubwa.
Kunguru wew
Haaaa haaaaa haaaaa haaaaaMmmh. Mie naona kikubwa ile raha ipatikane tu hizo kunja kunja zaweza kuwepo ila badala ya raha ikageuka kuwa karaha.
Pia punguzeni kuiga kwa wazungu sababu wale wanafanya biashara.