Wanawake wavivu kitandani mnaboa

Wanawake wavivu kitandani mnaboa

Mwambie akupe hata Reverse Cow Girl.hakika mtaifurahia mkuu
 
Maana sasa kama kuna anaepata maumivu kuna kufurahia gemu tena hapo? Wanaume tuache ubinafsi kitandani lazima tujali hisia zenu Hajar eeh😉😉😉😉
Kabisaaaaa. Yaani mzijali tu ili wote tupate hiyo raha na sio mmoja kakunjwa na kubaki kusikilizia maumivu huku mwingine anafurahia kumkunja mwenzie.
 
Hahaaaa. Sawa Sesten.

Na usijali tutawafungukia tu.
Hayo ndio maneno banaa fungukeni msifanye kama mshumaa unamulika huku wenyewe wateketea,maana hakuna raha kwa mwanaume kama ukiwa umemfurahisha haswaa na kumridhisha mpenzi wako bila kumpa karaha na kero
 
Umeeleweka sana tu ila jaribu kuongea nae kwa uwazi. Maana wengine wanafanya hivyo vitu kwa mazoea bila kujua ni makosa.

Kumridhisha na kumkamata mwanaume ni vitu viwili tu
1:Tumbo lake kwa kumpikia vyakula tofauti na vyenye rad ha tofauti.
2:Kitandani kujichetua uwezavyo.
Basi ni hayo tu hakuna uchawi mwingine

nimekuzoom.
 
Back
Top Bottom