Unakuta uko na mpenzi wako ambae mko kwenye mahusiano muda tu zaidi hata ya mwaka lakini kila mnapoingia kwenye ulimwengu wa kupeana raha za dunia chumbani mwanamke hataki kubadilika.
Kila siku anataka staili moja tu au mbili nikimaanisha mbuzi kagoma kwenda na kifo cha mende.Ukimwambia geuka hivi anakuambia ooooh hivo me siwezi yani anataka tu kila siku mfanye staili moja ile wanawake wanayoitumia kujifungulia leba.
Yani kila siku yeye ni kifo cha mende tu siku ukimwambia basi leo tufanye hata mazishi ya mende anakwambia ooooh hiyo me naumia, na kuna wanawake wanaenda mbali zaidi kusema kwamba ukimweka staili ya mbuzi kagoma kwenda eti unamsukuma kizazi.Yani kila siku mende anakufa tu haijulikani atazikwa lini.
Mambo yamebadilika dada zetu hivyo hamna budi na nyinyi kubadilika mnapokua na wapenzi wenu sababu hampo pale kwaajiri ya kukamilisha zoezi lahasha bali kila mmoja anatakiwa akitoka pale awe ameridhika.
Nadhani kwa hayo machache nitakua nimeeleweka kiasi flani, ambao hamjanielewa mniwie radhi.