Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,269
Siyo kila mtwangio unaweza kutwanga kwenye kinu chochote au kinu kutwangwa na mtwangio wowote. 😉

Nakuona unatoa ya moyoniPIGA CHINI huyo!ila staili ya mbuzi kagoma kwenda kuna wanawake wananuka mavi kama vyoo vya ilalaMimi siipendelei Mara kwa mara
![]()
Please hide my ID

😀😀😀😀😀 bia me sinywi mkuuMwenye thread ulipiga bia ngapi kabla hujapost hii!!?
Ooho basi ulikosa uhondo, ulinoga hatari, nikakukopia kulikonoga zaidi nikurushie kwa pyem, wacha inigomee kusend, kila nikijaribu kusend holaaa, duuh!! Nikaishia poz kabisaa, manake nilijua uko bize na hubby na watoto huwezi ingia huku tena.Niko poa best. Itakuwa aiseee.
Maana sikuurudia tena na hapa ndio umenikumbusha ujue lol.
Nikisikia tu hamna hela ya matumizi sikupi vizuri nakuambia.Unakuta uko na mpenzi wako ambae mko kwenye mahusiano muda tu zaidi hata ya mwaka lakini kila mnapoingia kwenye ulimwengu wa kupeana raha za dunia chumbani mwanamke hataki kubadilika.
Kila siku anataka staili moja tu au mbili nikimaanisha mbuzi kagoma kwenda na kifo cha mende.Ukimwambia geuka hivi anakuambia ooooh hivo me siwezi yani anataka tu kila siku mfanye staili moja ile wanawake wanayoitumia kujifungulia leba.
Yani kila siku yeye ni kifo cha mende tu siku ukimwambia basi leo tufanye hata mazishi ya mende anakwambia ooooh hiyo me naumia, na kuna wanawake wanaenda mbali zaidi kusema kwamba ukimweka staili ya mbuzi kagoma kwenda eti unamsukuma kizazi.Yani kila siku mende anakufa tu haijulikani atazikwa lini.
Mambo yamebadilika dada zetu hivyo hamna budi na nyinyi kubadilika mnapokua na wapenzi wenu sababu hampo pale kwaajiri ya kukamilisha zoezi lahasha bali kila mmoja anatakiwa akitoka pale awe ameridhika.
Nadhani kwa hayo machache nitakua nimeeleweka kiasi flani, ambao hamjanielewa mniwie radhi.
Hahaha..Mwisho anakuja kulialia akiomba atajiwe vyuo vinavyotoa certificate(astashahada)...Ndio maana unafeli mitihani jinga kubwa...haraka nenda mesini halafu uingie darasani
Uwiiii. Pole sana best.Ooho basi ulikosa uhondo, ulinoga hatari, nikakukopia kulikonoga zaidi nikurushie kwa pyem, wacha inigomee kusend, kila nikijaribu kusend holaaa, duuh!! Nikaishia poz kabisaa, manake nilijua uko bize na hubby na watoto huwezi ingia huku tena.
Maana si kwa kupitwa huko.Mwisho wavunjane viuno bure,ushaona wapi mtu anafundishwa karate uzeeni wakati viungo vyote vimeshakaza?Mmmh. Mie naona kikubwa ile raha ipatikane tu hizo kunja kunja zaweza kuwepo ila badala ya raha ikageuka kuwa karaha.
Pia punguzeni kuiga kwa wazungu sababu wale wanafanya biashara.
Ok poaUwiiii. Pole sana best.
Kwa hali hiyo kama utakuwa na chance naomba kesho nikutwangie aisee.Maana si kwa kupitwa huko.
Pole sana sababu ulikuwa na juhudi hasaa.
Hahaaa. Ndio hapo sasa.Mwisho wavunjane viuno bure,ushaona wapi mtu anafundishwa karate uzeeni wakati viungo vyote vimeshakaza?
Kuna michezo miingi kabda ya tendo, hata maongezi matamu pia yana raha yake na yanasisimua.....sioni kwanini ulazimishe style ambayo mwenzio hatakua comfortable nayoMmmh. Mie naona kikubwa ile raha ipatikane tu hizo kunja kunja zaweza kuwepo ila badala ya raha ikageuka kuwa karaha.
Pia punguzeni kuiga kwa wazungu sababu wale wanafanya biashara.