Wanawake wavivu kitandani mnaboa

Wanawake wavivu kitandani mnaboa

Wengine wana kina kifupi kweli, ukimuweka mbuzi kagoma lazma aumie tu au kukalia mkongojo hatoweza kwahyo usimlaumu mtu. Na wew uwe muelewa usijali hisia zako peke yko bila kujua nae km anaumia au anaenjoy.. Hizo habari za kupinduana pinduana ziache kwenye mavideo hayo, kiuhalisia utasukuma kweli kizazi chake
 
Hicho ni kizazi kinachopotea sasa!!! na tunakitafuta kwa garama yoyote!!! maana kizazi kilichoibuka sasa hivi ni cha kimaigizoigizo
Sasa huyo anataka wanawake wenye kupenda mbilinge mbilinge sizani kama ni mke mtafanya vitu kwa fujo namna hiyo mpaka ndani mnabaki kunuka jasho je kazoea suluba hizo ukasafiri atavumilia mpaka urudi na unachukua miezi 6?
 
Sasa huyo anataka wanawake wenye kupenda mbilinge mbilinge sizani kama ni mke mtafanya vitu kwa fujo namna hiyo mpaka ndani mnabaki kunuka jasho je kazoea suluba hizo ukasafiri atavumilia mpaka urudi na unachukua miezi 6?
Unamaliza zoezi umechoka kama ulikuwa unanyanyua chuma !!! kimsingi ili tendo liwe na mpangilio inabidi mmoja akiwa anacheza mwingine ametulia anadaka!!! sasa wote kila moja ana moverments tofauti si fujo??
 
Unamaliza zoezi umechoka kama ulikuwa unanyanyua chuma !!! kimsingi ili tendo liwe na mpangilio inabidi mmoja akiwa anacheza mwingine ametulia anadaka!!! sasa wote kila moja ana moverments tofauti si fujo??
Haaaaa haaaaa kila kitu kwa kiasi yawezekana bado umri akiwa na majukumu atalitambua hilo
 
Hii topic imenisababisha nigundue kwamba hizi style ni kama unafanya yoga tu.
Ile intercourse ni vile vile tu, regardless.
 
Ujue kuna kitu kimoja haujakifahamu kuhusu WALIMBWENDE.

Ngoja nikupe MAUJUZI kidogo.

WALIMBWENDE ni VIUMBE ambao kwenye TENDO LA NDOA huwa hawatabiriki hata kidogo.

Kwanini nasema hivyo?

Ni kwasababu wanabadilika badilika.

Unajua kwanini?

Wanaendana kutokana na HALI (ajisikie), kama hayuko kwenye HALI (ya kujisikia) hatokukubalia kufanya chochote unachokitaka wewe.

Kama huamini ninachokisema, MLIMBWENDE huyo huyo anaekukatalia MTINDO fulani kwa mfano, na mnaweza mkawa mpo kwenye UHUSIANO wenu hata MWAKA Mzima. Kuna SIKU MLIMBWENDE huyo huyo akakupa MTINDO unaoutaka. Na wewe mwenyewe ukashangaa!

Kwanini unashangaa?

Ni kwasababu haukutegemea kabisa kupewa MTINDO ule, na AKILINI mwako ulishajiwekea huo MTINDO hautaki/hauwezi.

Na huo niliokupa ni mfano Mdogo sana, kuna mifano mingine mingi inayofanana na hiyo.

Au ngoja nikumegee tena kidogo.

MLIMBWENDE unaweza ukaomba akunyonye DUDU akakukatalia katakata, na kuanza kusema hawezi kwasababu anajihisi KINYAA, hayajui hayo MAMBO ya kunyonya DUDU na VISABABU vingine tele.

Cha ajabu huyo huyo aliekukatalia kuna Siku akijisikia unashangaa mwenyewe anaanza kushuka chini na kuanza kunyonya DUDU. Hiyo MAZEE lazima upatwe na BUTWAA!

Na utashangaa huyu kimemkuta nini leo!

Amejifundishia wapi haya mambo!

Yaani kuna mengi sana yanayofanana na haya kuhusiana na WALIMBWENDE, na nikisema nitiririke hapa naona itakuwa MAKALA.

Ngoja niishie hapa
 
Real???? Wewe katika nafasi yako ume play how many percentage to ensure the game is hot
Yaah. It depend Mkuu sasa kama mwanamke amekunjwa hata pakuhema hapapo huo muda wa play hiyo percentage ya kufanya hiyo game iwe hot kama usemavyo sidhani kama utakuwepo Mkuu.

Zaidi ya kugugumia tu maumivu na kuwaza Me atamaliza saa ngapi.
 
Back
Top Bottom