Rowin
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,109
Kwa uelewa wangu...wanatafuta mwenza wa kusaidiana kuendesha maisha....Nasikia siku hizi kuna vijana wanaoa vyeti ? Bila shaka hili huwa unalisikia.
Naomba ulitolee ufafanuzi kidogo.
Mwenza atakaye kubalika kwenye jamii vizuri....
Pamoja na yote tukubali ukweli...wanawake wengi sasa wanapata nafasi ya kwenda vyuoni...sio kitu kibaya.
Tunakuja kuharibu pale...kwenye kujua nafasi ya mwanamke ndani ya NDOA....