Wanawake wasionivutia kabisa 2016

Wanawake wasionivutia kabisa 2016

Wanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:


1. Wenye vitambi

2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango

3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe

4. Waliojichubua mpaka mishipa na ngozi vinageuka kuwa blue (aaagggrrrr)

5. Wanywa pombe

6. Wanaopenda kubugiabugia vyakula kama nguruwe

7. Waliojazia misuli halafu wanavaa nguo ya mikono iliyokatwa huku wakionekana kama mabaunsa

8. Wanaojamba ovyo (aaaghhhgggrrrr)

9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili

10. Wakorofi na wanaopenda ligi

11. Waropokaji

Nikirudi nitaongeza list na kuwaambia kwa nini hawavutii.
List yooote hii waipeleka wapi?
Hivi mtu anaweza kuamua awe na tako kubwa kweli?
Nashauri ungebaki nayo kwani hata mamako hakuwaga na figure japo babako alimwoa nawe ukazaliwa
 
usisahau kua kuna mijanaume pia ina vitambi hatari...inalewa ovyo baaa km hakuna kesho,kuropoka ndo usiseme tena matusi mtupu..bado hajaanza kujisifia uongo, mwanaume miaka 30 anaish na wazaz khaaa mm sipendi so ata nyie wanaume mnatuboaaaa..
 
#12. Wanaoomba omba hela hovyo yaani asubuhi mkuki jioni mkuki kila wakati mikuki siwapendi na hawanivutii 2016
 
Nimewahi kukutana na msichana below 22
akaniambia hanywi beer kabisa....only spirits
her favourite vodka....what about that type?

Walevi na wavuta sigara nao ni turnoff.

We demu anakunywa hadi analewa chakari....come on.

Very unattractive.
 
Walevi na wavuta sigara nao ni turnoff.

We demu anakunywa hadi analewa chakari....come on.

Very unattractive.

Mimi nilijiuliza kusema hanywi beer only vodka
ina maana beer haimleweshi tena or what?
si vodka is more strong?au sikumuelewa?
 
Back
Top Bottom