Wanawake wasionivutia kabisa 2016

Wanawake wasionivutia kabisa 2016

aisee Mungu ameumba kila mtu kwa mfano wake unaposema hivyo unakufuru

basi UMBA WAKO uone kama ni kazi rahisi kiasi hicho ilimchukua Mungu wiki kumleta mtu dunniani

naziwewee
 
Kiruuuuuuuuuuuuuu,lol ngoja nisome kimya kimya,lete picha ya huyo wa kwako
 
yaani huyu mzee magumash simtaki tena shem kaizer ntafutie serengeti boy su=imtaki tena asprin lamba lamba
Afu baadaye utakuja hapa kulalamika huna bahati.... Yani unaviacha viPasso vinakupita hivihivi.
 
Wanawake wavivu sana siwapend,miguu inanenepa kuliko maumbile mengine
Ingekuwa ukiwa mvivu miguu inanenepa basi wanawake wengi wangefanya huo uvivu kwa makusudi wapate uleg wa chupa ya bia. Fito zingekuwa chache
 
Back
Top Bottom