Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,730
WAKIUNGUA NA JUA UNAPATA KINYAA WANATISHA ZAIDINo 4 hiyo funga kazi [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
WAKIUNGUA NA JUA UNAPATA KINYAA WANATISHA ZAIDINo 4 hiyo funga kazi [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Utakua mpigaji tu wewe, sasa hawa wote utawapendaje ndugu yangu maana kichwa chako umeweka wanawakeWanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:
1. Wenye vitambi
2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango
3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe
4. Waliojichubua mpaka mishipa na ngozi vinageuka kuwa blue (aaagggrrrr)
5. Wanywa pombe
6. Wanaopenda kubugiabugia vyakula kama nguruwe
7. Waliojazia misuli halafu wanavaa nguo ya mikono iliyokatwa huku wakionekana kama mabaunsa
8. Wanaojamba ovyo (aaaghhhgggrrrr)
9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili
10. Wakorofi na wanaopenda ligi
11. Waropokaji
Nikirudi nitaongeza list na kuwaambia kwa nini hawavutii.
Huwa unawajuaje hawa wa kundi hili? Chupi ni siri ya mtu9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili
nakupenda we mdada ila nimeshindwa kukutungia nyimbo nzuri ya mapenzi sijui hata nitasema nakupenda nani maana ID yako tatizoWanaume wasiotuvutia 2016
1:kutuweka kwenye uchumba sugu Ni kupotezeana muda
2:kuficha siri Sana hasa simu
3:ubahili
4:kukojoa kama kuku
mengine endeleza Heaven Sent na Evelyn Salt
5: kiangazi wallet ina vumbi masika wallet ina kutuWanaume wasiotuvutia 2016
1:kutuweka kwenye uchumba sugu Ni kupotezeana muda
2:kuficha siri Sana hasa simu
3:ubahili
4:kukojoa kama kuku
mengine endeleza Heaven Sent na Evelyn Salt
Hapa mnajishaua tu wakati mbebs akilivaa unashinda unalichezea tuHawa ndio wezi wakubwa maana anabadilisha muonekano wake wote akitoa wigi unaweza kumkataa
5: kiangazi wallet ina vumbi masika wallet ina kutu
nakupenda we mdada ila nimeshindwa kukutungia nyimbo nzuri ya mapenzi sijui hata nitasema nakupenda nani maana ID yako tatizo
Mkisemaga hv mtoe na picha zenu. I hav a friend bf wake hapend wanawake wenye matumbo ila yeye mwanume ana tumbo kama ana utapiamlo na ni mfupi balaa. Nilikua nacheka tuWanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:
1. Wenye vitambi
2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango
3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe
4. Waliojichubua mpaka mishipa na ngozi vinageuka kuwa blue (aaagggrrrr)
5. Wanywa pombe
6. Wanaopenda kubugiabugia vyakula kama nguruwe
7. Waliojazia misuli halafu wanavaa nguo ya mikono iliyokatwa huku wakionekana kama mabaunsa
8. Wanaojamba ovyo (aaaghhhgggrrrr)
9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili
10. Wakorofi na wanaopenda ligi
11. Waropokaji
Nikirudi nitaongeza list na kuwaambia kwa nini hawavutii.
Hahaha kukojoa kama kuku ndo kwa aje huko?Wanaume wasiotuvutia 2016
1:kutuweka kwenye uchumba sugu Ni kupotezeana muda
2:kuficha siri Sana hasa simu
3:ubahili
4:kukojoa kama kuku
mengine endeleza Heaven Sent na Evelyn Salt
Ninyooshe kidole juu kumthibitishia kuwa nakupenda?heeeee kuna wanaotupenda atii
Hujawahi kuona jogoo linavyomwaga mkojo kwenye tundu la mtetea? Yani full fastaaa!Hahaha kukojoa kama kuku ndo kwa aje huko?