Wanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:
1. Wenye vitambi
2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango
3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe
4. Waliojichubua mpaka mishipa na ngozi vinageuka kuwa blue (aaagggrrrr)
5. Wanywa pombe
6. Wanaopenda kubugiabugia vyakula kama nguruwe
7. Waliojazia misuli halafu wanavaa nguo ya mikono iliyokatwa huku wakionekana kama mabaunsa
8. Wanaojamba ovyo (aaaghhhgggrrrr)
9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili
10. Wakorofi na wanaopenda ligi
11. Waropokaji
Nikirudi nitaongeza list na kuwaambia kwa nini hawavutii.