Wanawake wasionivutia kabisa 2016

Wanawake wasionivutia kabisa 2016

KITAMBI NINACHO SAAANA NYAMA CHOMA NA CASTLE KWA SAAAANA HAPA JOB WAMEANZISHA PROGRAM YA MAZOEZI NIMEITOLEA NJE NAKIPENDA KITAMBI CHANGU NA NINAKIGHARAMIA NYAMA NA BIA ASIYEKIPENDA ATAJIJUA
Teh teh..We ndo mtu wa kwanza kusikia unakipenda kitambi...Hakikusumbui faragha?
 
Wanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:


1. Wenye vitambi

2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango

3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe

4. Waliojichubua mpaka mishipa na ngozi vinageuka kuwa blue (aaagggrrrr)

5. Wanywa pombe

6. Wanaopenda kubugiabugia vyakula kama nguruwe

7. Waliojazia misuli halafu wanavaa nguo ya mikono iliyokatwa huku wakionekana kama mabaunsa

8. Wanaojamba ovyo (aaaghhhgggrrrr)

9. Wanaovaa chupi nzito kama gunia, pamoja na joto lote hili

10. Wakorofi na wanaopenda ligi

11. Waropokaji

Nikirudi nitaongeza list na kuwaambia kwa nini hawavutii.


Wanaokera ni wenye vitambi na wwnaopaka mkorogo sasa utakuta mwingine ana sifa zote 11 ulizopost
 
KITAMBI NINACHO SAAANA NYAMA CHOMA NA CASTLE KWA SAAAANA HAPA JOB WAMEANZISHA PROGRAM YA MAZOEZI NIMEITOLEA NJE NAKIPENDA KITAMBI CHANGU NA NINAKIGHARAMIA NYAMA NA BIA ASIYEKIPENDA ATAJIJUA


Sijui kama hufanani na hawa viumbe tembo, au faru
 
No 4 hiyo funga kazi [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom