Wanawake warefu wana raha yake.

Ha ha ha ha me nahisi hata ww ni mfupi mana una maneno mengi.

Mtoto mzuri hatali88 lazima kumkonga na maneno mazuri ili asuzike moyo wake. Awapo kwenye mojonzi unambembeleza taratibu.
 
Mimi nina wasiwasi na usukuma wako,hivi wewe sio wa chalinze kweli.
Mtoto mzuri hatali88 lazima kumkonga na maneno mazuri ili asuzike moyo wake. Awapo kwenye mojonzi unambembeleza taratibu.
 
Demu mrefu wa wastani, umbo fresh, asiwe na litumbo halafu apige high heels za ukwee, duuh! Furaha ya macho!
 

Hisia tu ya kuwa dominated inakufanya mnyonge halafu mkeo anakosa confidence kwako na anajiona insecure
 

Hahahahahaa! Umenikumbusha mbali sana aisee,hehehehee, especially that part about high heels. Nakumbuka i used to date this guy, he's tall & everything ila alikua hataki kabisa nivae high heels kisa anasema nikivaa high heels naonekana zaidi (yaani i become attractive) and he didn't like other men admiring his woman, loh! We used to fight over this issue siku moja kumaliza mzizi wa ugomvi akaja akabeba high heels zangu zote kwenye shoe rack yangu,weeeeh! Mbona palichimbika siku hiyo,damn! I am a tall lady, 5,9" ila napenda sana heels,the higher the heels the better!
 
Ooh allihamudulilah ukutane na mtoto mrefu... kajazia kwa mbalii... ngoz lainiii kama anaogea maziwa kifua kipo safi kimesimama mtoto anaongea kwa pozi sio chiriku kama MC chogo... ooh mashaallah kidume najitanuaga... macho yote kwake siangalii miyolele
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…