Wanawake warefu wana raha yake.

Salawe kwetu Solwa kwetu

Umenikumbusha mbaliii..... Nilikuwa na she pale Manhigana/lyabhukande mrefu wa kutosha. Sokoni hakupi tabu ya kumtafuta. Wangu enzi zile za kuwazimia mademu na kuficha pikipiki porini.. Nilikuwa natoka kakola ya bulyanhulu kwenda kulala kwao. Kituko ni siku niliyokuta wageni ndani.. Pikipiki niliiona mzigo.. Kumbe wakati nailaza kichakani mafuta yalivuja..
 
Mkuu wafupi nao umeshawahi kujaribu,i wish you could try yourself and see how its going down!
 
He he he karibu kwangu ila me sina nywele.
 
mi man wangu akinipita urefu kidogo full stop ili hata tukisimama tukikaa tukipakatana kupeana makiss sio mpaka mtu abeeeeeeendii mpaka achoke.. au mtu asimamie vidole vya miguu...hapana kabisa
 
mi man wangu akinipita urefu kidogo full stop ili hata tukisimama tukikaa tukipakatana kupeana makiss sio mpaka mtu abeeeeeeendii mpaka achoke.. au mtu asimamie vidole vya miguu...hapana kabisa

Wewe mrefu wa futi ngapi?
 

Huwa mnatupa shida sana tuliooa kwa mada kama hizi...Kwa hiyo tufanyeje na sisi tuipate hiyo bahati. Tuchepuke????
 
Huwa mnatupa shida sana tuliooa kwa mada kama hizi...Kwa hiyo tufanyeje na sisi tuipate hiyo bahati. Tuchepuke????

Akili kumukichwa. Kuchepuka ruksa. Angalia usikamatwe. Huwezi kula chakula kile kile maisha yako yote. Test na kwingine.
 
Tatzo la wanawake wafupi wanaongea sana muwapo out,but nimekuja kujua baadae sana kua hiyo ni asili yako kwasababu hawajiamini so hufanya vile ili nao waonekane kama wenzao.

Sio wanawake wafupi tu hata wanaume wafupi wanaongea kama wametiwa ndimu vimbele front ka nini
 
Wafupi wengi ila wanafaa kuoleea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…