Nimeongezeka I'm 5ft 10 1/2 inches.Dada wewe sio mrefu, my girlfriend is 6.2 I am 5.11, I feel so proud kum win cause lesser men felt intimidated by the height difference
I walk around with her like a king..
alale ndiyo umkiss haa haa, na ukiwa huna nguvu unapokea kichapo haswaaaaMm mwanamke wangu ana urefu kama wako,yaan kanizid mbali sana.....sjui kanipendea nn? Ila kwa kweli kumkiss mwanamke mrefu mkiwa upright is very tiresome for me,namwàmbiaga plz lala kitandani tu bby coz it tires to stretch my neck for the kiss.....pia tukitembea yy ndio huvuta attention sana ya watu....but I love her so much
Lol wewe ni mfupi kiasi gani?Mm mwanamke wangu ana urefu kama wako,yaan kanizid mbali sana.....sjui kanipendea nn? Ila kwa kweli kumkiss mwanamke mrefu mkiwa upright is very tiresome for me,namwàmbiaga plz lala kitandani tu bby coz it tires to stretch my neck for the kiss.....pia tukitembea yy ndio huvuta attention sana ya watu....but I love her so much
@BAK, umepotea au unanyemelea uteuzi?
Nikajua mwenzangu umeteuliwa maana hapa juzi kati kuna teuzi kama tatu zilipitawala sijakosea nilitaka kuona tu ulivyopanda juu.
🙆🙆🙆😂😂😂Hongera mama kuwa mrefu ni baraka, na ufupi ni laana mfano ni wa dodoma kichwa kinakua jirani na tumbo kitu kinachopelekea ubongo kuathirika na joto la mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo😂😂😂Kwa niaba ya wanawake warefu wote wa visiwani NAUNGA MKONO HOJA.
Japo hawajanituma ni kwa sababu tuu watu warefu huwa hatuna majungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow jamani😍😍😍Hongera mama, mimi ni 192 mtaani naitwa tolu mnyama na mke wangu ana 180 huwa tukipita popote lazima tupate watazamaji wa kutosha tunakuwaga maarufu automatically wengine wanatuuliza nyie ni ndugu huwa tunajibu yees we are
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake warefu ni adimu mkuu nafikiri ndio sababu hata majeshini urefu wa KE uko chini lakini ME wameweka wa juu.Mbona mm nina urefu huo (176cm) lakin sijion kama miongon mwa watu warefu. Mm ni mwnaume na nina urefu exactly the same na ww lakin sijion kuwa mrefu wala sina hisia za kuwa mrefu. Najiona kawaida tu na kuna wakati najihisi mm ni mfupi. Ww kitu gan kinakufanya ujione mrefu, labda ukivaa high heel. I wish ningekuona kwa macho yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app