Wanawake wanavutiwa na mambo haya

Wanawake wanavutiwa na mambo haya

Screenshot_20230817-202745.png
 
Mnanishangaza kuleta agenda kama hizi mezani, wenye kujua wanapenda nini kwa wanawake. Kama ni mwanamke sawa siku ishii
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Hapo unamzungumzia Mwanaume wa Dar au Mwanaume Kamili?

eti fasheni, hiyo ndio nin kwanza?, Yaani Mwanaume Kamili azubae kwenye fasheni na kunukia ili apendwe na wadada aache kufanya kazi kwa bidii na kutafuta hela?
 
Hapo unamzungumzia Mwanaume wa Dar au Mwanaume Kamili?

eti fasheni, hiyo ndio nin kwanza?, Yaani Mwanaume Kamili azubae kwenye fasheni na kunukia ili apendwe na wadada aache kufanya kazi kwa bidii na kutafuta hela?
Msingi kiuno nyie endeleeni kutafuta Pesa wenzenu wanatuletea.
 
Kuna watu mmejaliwa utunzi yaan unatunga UONGO km ukweli na wapo watu wanajaa kabisa wakiamini kua ni ukweli kumbe ni UONGO, we have a Long way to Go
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Money is above of all this nonsense
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Dogo fanya kazi watakuja wenyewe, ila namba 5 hiyo ni ukweli mtupu,

Namba 4 ondoa swagga weka kujiamini nayo ni ukweli usiopingika.


Ukijiamini unang'oa pisi kali hata kama hauna pafyume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom