Wanawake wanavutiwa na mambo haya

Wanawake wanavutiwa na mambo haya

1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Hayo ni majukumu ya Mwanamke kwa Mume mwenye Pesa.
Tengeneza pesa tu yeye atakusafisha atakuvisha kwa swaga apendazo na kukunukishia perfume apendayo mwenyewe.
Wacha kujivika Majukum ya Wanawake.
 
Uzi huu bila video kwa uthibitisho ni ubatili kama na wewe unawavutia au ndo ile fuata mafunzo yangu na sio unayoyafanya

Anyways
Hayo yote bila pesa hope huwezi kuyafanya ko suruhisho ni money mkuu na nimeenda 😀
 
mwanaume akijiita tu brownsijui nn naanza kumuweka kwenye ule Mlengo wa upinde wa rain

kwa rika lako uko Sawa mtoa Mada hayo ndio mambo yanawavutia jipodoe uwe brown zaidi
 
Naona wengi mmekazania sana pesa. Lakini kumbukeni pesa pekee haitoshi. Si unaona ma sugar mummy yanatafuta Vibenten vinavyojua kuvaa na kupendeza tena wanavihonga Sasa kwa nini wasiwafuate wenye pesa wenzao wanafuata vibenten. Shtukeni mazee.
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Dogo, ifikie wakati utofautishe kati ya neno mwanamke, na msichana/girlfriend! Hao unao waongelea wewe na kwa umri wako ni wasichana/girfriends!
Ila ukija kwa wanawake sasa!! Hawa siku zote wanachokipenda kwa mwanaume ni pesa! Yaani no money, no love!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom