Wanawake wanavutiwa na mambo haya

Wanawake wanavutiwa na mambo haya

Dogo inaelekea wewe ni "ajira mpya'' hujawahi kuhudhuria kikao Cha wanaume hata kimoja. Tulishakubaliana pesa ndio first priority kwa mwanaume hwote halafu mengine hayo ndio yafuate.

Hatutamvulia mwanaume yeyote atakayeleta hoja kikaoni eti kaumizwa au kuachwa kisa Hana pesa.
 
Naona wengi mmekazania sana pesa. Lakini kumbukeni pesa pekee haitoshi. Si unaona ma sugar mummy yanatafuta Vibenten vinavyojua kuvaa na kupendeza tena wanavihonga Sasa kwa nini wasiwafuate wenye pesa wenzao wanafuata vibenten. Shtukeni mazee.
Dogo unapenda kuolewa fala kabisa
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.

Nimesoma 1, 2, 3 hakuna pesa…

Nimekataa hii
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk...
Hawajui wanataka nini
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk...
Kwahiyo siku hizi pesa siyo kigezo tena.
 
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk.

2.Fashion. uwe mtu wa fashion yani unaenda na wakati kwenye mavazi, pangilia pigo zako vizuri utaona watavyojigonga

3. Harufu. Hamna kitu kinamvutia mwanamke kama harufu nzuri. Perfume, deodorant. Body spray nzuri. Mdomo usinuke, pia kwapa na mapumbu yasinuke wala kusiwe na harufu yeyote mbaya inayotoka kwenye mwili wako. Mwanamke akishasikia harufu nzuri basi atakuganda sana

4. Jiamini na uwe na swagg. Uongeaji unavyotembea ukiwa na watu etc huweza kuwajulisha watu kama unajiamini au la..

5. Be unavailable
Wanawake hawawapendi wanaume wanaopatikana muda wote wakihitajika hii inakupunguzia mvuto hivyo jaribu kutojirahisisha kwake na usiwe wa kupatikana kirahisi.

Ukifanya haya basi hautobabaishwa na wanawake.
Pesa una tafta mda gani ..... simply wanawake wanavutiwa na maokoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom