Wanawake wanapogeuka ombaomba...!

Wanawake wanapogeuka ombaomba...!

basi my dear hizo sms zako zilikuwa hazina mikiki mikiki,zile zangu zilikuwa kiboko aise, hakuna cha kujaliwa kuandiaka pale, ndio mana siku nilipowakuta bar nilikuwa nahasira kiasi cha kwamba ningeharibu mazima kabisa.

Hee Nyamayao ulimfumania shemeji na bar maid wanabadilishana mawazo? Bora kama hakuagiza Valuer au Giness
 
Last edited by a moderator:
ndio mana nilienda nikiwa tayari kwa lolote, kama tunashikana na tushikane vizuri na tuachiane alama za ukumbusho,ndio mana nilikuwa tayari kuharibu kabisa ili nisijutie, bar mwenyewe? mpaka sasa nina uwezo wa kukaa bar mwenyewe nikagida nikachapa lapa, si pesa yangu inaniruhusu? sina hofu kabisa,mradi isiwe usiku, siku zile niliagiza balantine kubwa na amarula kadogo, sasa sikuweza kuzimaliza na naona nao wanakaribia kumaliza kula ikabidi nishike chupa zangu mkononi niwafate nazo sasa sijui walivyoniona na chupa mbili walijua ndio nawavurumishia? nimwage pombe mie? pale nilikuwa na tatizo na mhusika wangu, sasa huyo mzinzi mwenzie angenyanyua mdomo tu, aiseee sijui, FP najiamini mbaya kabisa, haswa pale ninapojua naonewa/nanyanyasika napambanaga haswaaa, penzi jipya? hawa wazinzi walikuwa wameshazoeana, mie nimesotea kasheshe kwa miezi 6 which means wao walikuwa wameshazoea kiasi cha kuwa na guts za kukaa mabar mchana kweupe bila hofu yoyote.
pole sana rafiki yangu,
niliposema bar peke yako nilikuwa na maanisha kwenda kuanzisha fujo na si kunywa.
Hii imekuja tu kichwani "out of topic" unakumbuka siku moja tuliongelea sehemu fulani kuanzia kwa kitanda mnajishitukia mpo chini? nikikumbukaga nacheka mno, lol! unanifurahishaga sana Nyamayao
 
Last edited by a moderator:
pole sana rafiki yangu,
niliposema bar peke yako nilikuwa na maanisha kwenda kuanzisha fujo na si kunywa.
Hii imekuja tu kichwani "out of topic" unakumbuka siku moja tuliongelea sehemu fulani kuanzia kwa kitanda mnajishitukia mpo chini? nikikumbukaga nacheka mno, lol! unanifurahishaga sana Nyamayao

hahah umekumbuka mbali kweli my dear, maisha haya FP tuyaache tu yalivyo, baada ya huo msukosuko ukitukuta mahali utasema ni sie tuliokuwa tumenuniana kwa kila kitu ndani ya nyumba? hahah wacha tu, sema ile kasheshe ilimfundisha kila mmoja wetu mambo fulani fulani, na baada ya kuyaweka sawa sasa hivi tunadunda tu.
 
Hee Nyamayao ulimfumania shemeji na bar maid wanabadilishana mawazo? Bora kama hakuagiza Valuer au Giness

hakuwa bar maid, yule dada nilimsumbua mpaka alikoma mwenyewe, nilihakikisha nimejua anafanyia wapi kazi/anapoishi, mpaka akawa anamlalaikia mzinzi mwenzie kwamba namkosesha raha, hakujua kama ana mke mkorofi hivyo, blah blah kibao, kalikuja kuolewa mwanza huko.
 
hahah umekumbuka mbali kweli my dear, maisha haya FP tuyaache tu yalivyo, baada ya huo msukosuko ukitukuta mahali utasema ni sie tuliokuwa tumenuniana kwa kila kitu ndani ya nyumba? hahah wacha tu, sema ile kasheshe ilimfundisha kila mmoja wetu mambo fulani fulani, na baada ya kuyaweka sawa sasa hivi tunadunda tu.
my dear, la maana hapo ni kujifunza.....
kwako ilikuwa nzuri maana ilisaidia mtu kujifunza.
haya maisha inabidi tuyaishi sababu tunapaswa kuishi, lol! ila mambo mengine tunayokutana nayo! hata mtu hutaki kukumbuka
 
hakuwa bar maid, yule dada nilimsumbua mpaka alikoma mwenyewe, nilihakikisha nimejua anafanyia wapi kazi/anapoishi, mpaka akawa anamlalaikia mzinzi mwenzie kwamba namkosesha raha, hakujua kama ana mke mkorofi hivyo, blah blah kibao, kalikuja kuolewa manza huko.
ha haaaaaaaaaaaaaa, alikuwa anatafuta mwenye mke mnyonge, lol! vimada wana tabu sana
 
ni kujiendekeza 2 kwa baadhi ya wanawake na kua na akila fupi lkn mwanamke bila kuwezeshwa anaweza
 
It goes both ways siku hizi, juzi nimecheka kulikuwa na harambee Kanisani wababa wanashindana na wamama atakayekusanya pesa zaidi, sasa mbaba anasimama anawaambia wenzake "Wanaumee!" wanaume wakaitikia kwa hamasa "Eeeh!" akaendelea "Jamani wanaume tukiwezeshwa tunaweza"..........mi hoi, kumbe wanaume nao wataka kuezeshwa?
Lakini back to the topic kwakweli wanawake hatuitaji kuwezeshwa japo tunafungwa na vifungo vingi, lakini mara zote tumeweza kuonyesha ujasiri wetu na ubunifu katika maisha. Tuachane na kasumba ya kuwezeshwa kwa vi Vitz na vi RAV4 eeh? Mi mwenzenu nakomaa tu hadi "najiwezesha" Lakini swali ni sawa Mwanamama anaweza kweli akawa na morali ya kujikomboa/kujiwezesha lakini je kwenye process ya kujiwezesha si kuna possibility ya kuwezeshwa kujiwezesha?
 
somo limeeleweka sina haja ya kupata supp kwenye maisha ya sasa na baadae kwa sababu Mtambuzi amenifunda mie.
 
somo limeeleweka sina haja ya kupata supp kwenye maisha ya sasa na baadae kwa sababu Mtambuzi amenifunda mie.

Yeah ukikubali kuwa omba omba ujue ushauza uhuru wako kwa mwanaume..........
Wanawake wote wenye kipato na wanaochakarika, wanaume huwagwaya maana wanajua akimkorofisha atasepa ...............si anajimudu!
 
Yeah ukikubali kuwa omba omba ujue ushauza uhuru wako kwa mwanaume..........
Wanawake wote wenye kipato na wanaochakarika, wanaume huwagwaya maana wanajua akimkorofisha atasepa ...............si anajimudu!
mweh kuna wanaume wengine hawatishiwi nyau hata kama unajiweza atataka tu awe juu kwa kukufanyia visa na majanga wala hataona tabu kwake.
 
mweh kuna wanaume wengine hawatishiwi nyau hata kama unajiweza atataka tu awe juu kwa kukufanyia visa na majanga wala hataona tabu kwake.

Ninavyojua mimi, wanawake wamejaaliwa saikolojia ya hali ya juu kuwatambua wanaume wa maana kwa kuwaangalia machoni, tatizo lenu mnawahisha kuwapa K na ndio sababu mnashindwa kupambanua kipi ni kipi

Tatizo mkishaonjwa mnakuwa kama vle mmepandwa na maruhani...........
 
It goes both ways siku hizi, juzi nimecheka kulikuwa na harambee Kanisani wababa wanashindana na wamama atakayekusanya pesa zaidi, sasa mbaba anasimama anawaambia wenzake "Wanaumee!" wanaume wakaitikia kwa hamasa "Eeeh!" akaendelea "Jamani wanaume tukiwezeshwa tunaweza"..........mi hoi, kumbe wanaume nao wataka kuezeshwa?
Lakini back to the topic kwakweli wanawake hatuitaji kuwezeshwa japo tunafungwa na vifungo vingi, lakini mara zote tumeweza kuonyesha ujasiri wetu na ubunifu katika maisha. Tuachane na kasumba ya kuwezeshwa kwa vi Vitz na vi RAV4 eeh? Mi mwenzenu nakomaa tu hadi "najiwezesha" Lakini swali ni sawa Mwanamama anaweza kweli akawa na morali ya kujikomboa/kujiwezesha lakini je kwenye process ya kujiwezesha si kuna possibility ya kuwezeshwa kujiwezesha?
Elizabeth Dominic hapo kwenye BOLD naomba ushereheshe kidogo, maana sijakupata sawasawa.......
 
Last edited by a moderator:
Ninavyojua mimi, wanawake wamejaaliwa saikolojia ya hali ya juu kuwatambua wanaume wa maana kwa kuwaangalia machoni, tatizo lenu mnawahisha kuwapa K na ndio sababu mnashindwa kupambanua kipi ni kipi

Tatizo mkishaonjwa mnakuwa kama vle mmepandwa na maruhani...........
hizo k wanapewa inapobidi na si vinginevyo licha ya hivyo wengine wanabadilika akikuweka ndani ndo unamjua ye ninani binadamu wengine kwa kupretend huwafikii na saikolojia yako ya kawaida labda mwanasaikolojia.
 
hizo k wanapewa inapobidi na si vinginevyo licha ya hivyo wengine wanabadilika akikuweka ndani ndo unamjua ye ninani binadamu wengine kwa kupretend huwafikii na saikolojia yako ya kawaida labda mwanasaikolojia.

No sex for 90 days should apply ili kumjua mwenza, hakuna mtu anayeweza ku pritend for 90 days... Never!
 
Ngoja leo niwe mtazamaji maana naona leo Mtambuzi kaamua kuwaambia ukweli.
"
Walishatungiwa jina kuwa wao ni "golikipa",wengine wanajichukia sana,hawajui kama na wao ni binadamu kamili.
"
Lakini majukumu ni lazima yajulikane,mwingine kulea mwingine kuleta mkate,mkitafuta mkate wote nani atalea wana?
 
Last edited by a moderator:
mbona mie huniombi PM jamani au unahisi ntakutengulisha TORATI? vibaya hivyo jamani! lol

Ha ha ha ha haaaaaaaa Nyamayao bana............
Haya ngoja tuhamie chumbani ndio tuongee vyema maana hapa kina Asprin na Babu DC Dark City hawatakawia kunizulia kesi...................
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom