Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Elizabeth Dominic hapo kwenye BOLD naomba ushereheshe kidogo, maana sijakupata sawasawa.......
Yaani kwani huwajui wamama na wadada ambao hutumia any means necessary kwenye harakati zao, ikibidi kutokalia uchumi wao. Sasa mi nimejiuliza juu ya huyu anayetafuta kuwezeshwa ana tofauti na anayesubiria/aliyebweteka?
Last edited by a moderator: