sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
kweli tunatofautiana. Mimi mwanamke anayevaa dira ni big no.... kuvaa madira kunaambatana na uswahili na umbea, labda awe mjamzito
madera siku hizi yanatumika kwa ajili ya kusutia watu.........
kweli tunatofautiana. Mimi mwanamke anayevaa dira ni big no.... kuvaa madira kunaambatana na uswahili na umbea, labda awe mjamzito
Heaven on Earth ladyfurahia hebu njooni huku mtoe ushuhuda.madera siku hizi yanatumika kwa ajili ya kusutia watu.........
Naomba link maana huwa nasikia tu hayo maneno ya huyo shehe"Neema za Allah"
Hii clipnikikumbuka huwa nacheka sana hasa pale shehe alipsma hapendi wanawake wembama "LABDA ITOKEE TU"" ha hahahah ha
ni kweli kajaaliwa ila ni kwa matumizi yangu binafsi!
Heaven on Earth ladyfurahia hebu njooni huku mtoe ushuhuda.
ndio unavyojidanganya hivyo...?
ladyfurahia furahia anaweza maana anasema anakaa mbagala.hhaaa......ushuhuda hawawezi kutoa hao wanakaa masaki......niulize mie wa tandale......
ladyfurahia furahia anaweza maana anasema anakaa mbagala.
JudgementNijuavyo mie Allah hanyimi vyote! Akikunyima kalio anakupa zawadi m'badala!
Ofcoz hata nawe miss chagga kipo ulichozidishiwa , mathalan wawezakua unamiliki .... Ya mnato sana etc.
hebu weka picha tuzione hapa kabla hujapunguza
Yeye alitangulia tuu, aliyepigiwa vigelegele ni mwingine yeye ana wawili!, akafuatiwa na mwibfine ana watatu!, na huyu aliyepo sasa ana wawili!, jumla wako 7!, na sijamaliza!.Hapa umeniacha kwani ana mdogo wake ??
ila sio kwa yule maana yule nilimuona juzi kati tena alikuwa kama ndugu yangu.
Luckyline, kila watu na
ugonjwa wao, wa ugonjwa wa zile neema za Mungu zinafichwa kwenye madira
wapo, lakini na sisi wagonjwa wa leggy line tupo!, tuwekee basi angalau
hiyo leggy line nasi tupate raha japo tutakula macho tuu!.
Pasco
Yeye alitangulia tuu, aliyepigiwa vigelegele ni mwingine yeye ana wawili!, akafuatiwa na mwibfine ana watatu!, na huyu aliyepo sasa ana wawili!, jumla wako 7!, na sijamaliza!.
Kila mmoja anakuja na rizki yake!.
Pasco.
PM inakuja!, I promise you, you won't regret!.ahaaaaa eti leg line ahaaaa njo uuchukuwe