Leomimi
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 2,547
- 874
Mleta mada umenikumbusha siku moja nilikuwa mkoani kikazi sasa ikifika jioni tumerudi baada ya kuiga ili tuunganne na staffmet kwenda kupata dinner napiga dira nachukulia siple kha kumbe jamaa mmoja ananisoma ikabidi one day anitumie text mda wa kulala eti lol huwa unaniacha hoi na ilo vazi lako nikamuuliza lipi eti la jioni nikashangaa kwa kuwa nilikuwa nipo siple kuliko wote akasema izo gauni unazopiga usiku tukienda kula nikacheka sana nikamwambia huzijui? Akasema no lol nikamuuliza dira hujui serious hakuwa anajua jina lake isee toka siku iyo ni kicheko mpaka tunamaliza kazi.