mawazobinafsi
Member
- Aug 15, 2014
- 44
- 14
sisi ambao neema ya allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika nguo kwenye hanger
Wengine Sisi washabiki wa Neema ndogondogo maana kubwakubwa uvivu mwingi