Nakubaliana na wewe dira sio vazi linaloweza kumfanya mwanamke aonekane nadhifu labda huyo mtu alibane na likisha banwa haliwi dira tena linakuwa ni gauni hayo madira ni special kwa siku kama jumapili au jumamosi upo upo tuu nyumbani na misibani mara nyingi
sisi ambao neema ya allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika nguo kwenye hanger
ndugu yangu kuna wengine kwa jinsi walivyojaaliwa hata wakivaa madira mizigo waliyobeba haifichiki
Nijuavyo mie Allah hanyimi vyote! Akikunyima kalio anakupa zawadi m'badala!
Ofcoz hata nawe kipo ulichozidishiwa , mathalan wawezakua na .... Ya mnato sana etc.
kwa hiyo neema ndogo ndogo tuvae sketi fupi na suruali
:A S wink::A S wink::behindsofa::behindsofa:
Mkuu Ikwe, sio mimi!, mambo mengine mtanionea bure!, yako kwenye damu!, natoka moja ya yale makabila yanoongoza kwa kupenda kwa dhati!. Kupenda wengi ndio jadi yetu ya asili ya Kiafrika.Pasco thread zako hizi mkuu. Aisee wewe bro unapenda mademu balaa
sisi ambao neema ya
allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile
neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika
nguo kwenye hanger
Vifunikwavyo vyaliwa!, vyaachwa vilo wazi!.watamjulia au kumuona wapi pasco! Maana mimi kama mpemba, sokoni naenda mwenyewe au tukiwa pamoja!
Duh!! Hizi neema wengine tuko bize kuzipunguza,kumbe zalipa eh!!!
Du!, usikumbushe!. Binti na mdogo wake ni members wa jf!, hivyo heshima mbele!.Pasco huyu kama ni yule ninayemjua mimi nahisi akiiona location yangu kuna kitu atagundua ila siku hizi kamehama magomeni
olympio to Zanaki pale kwa bibi yake magomeni na mama yake akiishi zanzibar
Luckyline, kila watu na ugonjwa wao, wa ugonjwa wa zile neema za Mungu zinafichwa kwenye madira wapo, lakini na sisi wagonjwa wa leggy line tupo!, tuwekee basi angalau hiyo leggy line nasi tupate raha japo tutakula macho tuu!.kweli tuendelee kuva vigauni vyetu na sisi waone uumbaji mtoto mguu utafikir niliongea na mungu ahaaaa wa madila wanaficha vumiguu kama sindano
Kusema kweli mimi huwa navutiwa sana na wanawake wanaovaa madira kuliko hawa wanaovaa visuruali vya kubana au visketi vifupi.
Mwanamke na hasa umkute ana shepu halafu akuvalie dira, wallahi huwa nahamasika, yaani huwa wananivutia sana.
Mimi la aziz wangu alikuwa hapendelei kuvaa madira licha ya kuwa nilimshauri mara kadhaa ila baada ya kugundua kwamba kila nikiona mwanamke kavaa dira huwa nasifia kuwa kapendeza na kuvutia huku shingo yangu ikiwa haitulii ili kuzisindikiza 'neema za allah' kwa macho, la azizi wangu naona akabadili msimamo akaanza kununua na kuvaa madira na kuna siku nikatoka nae nikampiga na shopping ya madira kadhaa, na hivi sasa siamini macho yangu ndio imekuwa pigo zake.
Na namshukuru mola habibi wangu kaumbika na huko 'uani' mashaallah basi huwa naburudika na kujiona kidume rijali kila akipita mbele yangu akiwa ndani ya dira.
sisi ambao neema ya allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika nguo kwenye hanger
Du!, usikumbushe!. Binti na mdogo wake ni members wa jf!, hivyo heshima mbele!.
Pasco
Kusema kweli mimi huwa navutiwa sana na wanawake wanaovaa madira kuliko hawa wanaovaa visuruali vya kubana au visketi vifupi.
Mwanamke na hasa umkute ana shepu halafu akuvalie dira, wallahi huwa nahamasika, yaani huwa wananivutia sana.
Mimi la aziz wangu alikuwa hapendelei kuvaa madira licha ya kuwa nilimshauri mara kadhaa ila baada ya kugundua kwamba kila nikiona mwanamke kavaa dira huwa nasifia kuwa kapendeza na kuvutia huku shingo yangu ikiwa haitulii ili kuzisindikiza 'neema za allah' kwa macho, la azizi wangu naona akabadili msimamo akaanza kununua na kuvaa madira na kuna siku nikatoka nae nikampiga na shopping ya madira kadhaa, na hivi sasa siamini macho yangu ndio imekuwa pigo zake.
Na namshukuru mola habibi wangu kaumbika na huko 'uani' mashaallah basi huwa naburudika na kujiona kidume rijali kila akipita mbele yangu akiwa ndani ya dira.