Wanawake wanaongoza kwa faceless

Wanawake wanaongoza kwa faceless

Siku unaonaje na wewe ukae chini uumbe wa kwako ambae sio faceless? tena kumbuka faceless ya kwako kwa mwenzako ni face-cutee
 
tatizo malengo ya kukutana huwa ni kuchorana tu ndio maana ukikuta sura mbaya unapata cha kuongea, kama watu mnakutana kwa ishu za maana hata ukimkuta ni kibogoyo inakuwa haiuhuu
 
Siku unaonaje na wewe ukae chini uumbe wa kwako ambae sio faceless? tena kumbuka faceless ya kwako kwa mwenzako ni face-cutee

ondoa jazba jukwaani tuzungumze uhalisi suala la mi kuumba wng linatoka wapi japo unachozungumza ni kweli ljn majority walokutwa na huu mkasi wakili hilo kutokea
 
tatizo malengo ya kukutana huwa ni kuchorana tu ndio maana ukikuta sura mbaya unapata cha kuongea, kama watu mnakutana kwa ishu za maana hata ukimkuta ni kibogoyo inakuwa haiuhuu



yaap nimekusoma japo muktadha wang upo upande wa pil
 
..na bado wengine wanadai love is blind...kwa ushuhuda huu bado ni kweli??! 😛out:
 
ha ha haaaa
haaaaa
kwani feisi less ikoje ha ha haaa,
ngoja nicheke kidogo.
 
ondoa jazba jukwaani tuzungumze uhalisi suala la mi kuumba wng linatoka wapi japo unachozungumza ni kweli ljn majority walokutwa na huu mkasi wakili hilo kutokea

Wala sijasema kwa jaziba, nimesema ukweli tu baba
 
Chukua tano Mwajei! Leo umeongea pwenti sana.

Hiyo sababu ndo inanifanyaga nisipende kukutana na mijitu ya humu. Mingi huwaga inataka kukuchora tu halafu ipate utirio wa umbea.


pole sana kama yalishakukuta lkn huwainategemea na makubaliano yenu pia never mind live life that matters
 
Hilo swali ingelikuwa vyema kama ungelielekeza kwa Mungu Muumbaji maana ndiye aliyeumba kila kitu na kukiona chema mbele zake...
Ukituuliza sisi utakua watuonea tu na kututafutia laana...

Uemjibu vyema mkuu...!!! sisi binadamu hatuwezi kukosoa.
 
Back
Top Bottom