Wanawake wanaongoza kwa faceless

Wanawake wanaongoza kwa faceless

pole sana kama yalishakukuta lkn huwainategemea na makubaliano yenu pia never mind live life that matters

Aaah wapi, hayajawahi kunikuta kihivyo wala nini. Karibu mara zote huwa niko hatua tano mbele....
 
nashukuru sana nilihisi ni jazba just upembuz wa mambo half to half huenda likawa na ukweli ndo mana tunaomba mawazo never mind tuko pa1

Ila kama hujui kuumba kwanini uumbue?ujue sio vizuri hata unaemdhania sio faceless kesho aweza pata la kumpata mdomo ukahamia kichogoni?
 
lara 1 ---muarobaini ni mti au una maana kuna mwanaume anafanana na mti wa muarobaini?


umekosea Earth on heaven muarobaini dawa kabisa mi npo kama mti unaitwa mkuyati nadhani huu sio mgen kwa weng na ni mbaya sana sema kuandka uzi haimanishi mi nina face nzuri nimekomaa sana huwa cpaki hata carolite napakaa mafuta ya kula unadhan yanaweza nibadilsha hata kidogo niwe na face nzur kidogo
 
Chukua tano Mwajei! Leo umeongea pwenti sana.

Hiyo sababu ndo inanifanyaga nisipende kukutana na mijitu ya humu. Mingi huwaga inataka kukuchora tu halafu ipate utirio wa umbea.
nipe hiyo tano yangu hamisi, na ntakudai hadi ukimbie.
 
nashukuru sana nilihisi ni jazba just upembuz wa mambo half to half huenda likawa na ukweli ndo mana tunaomba mawazo never mind tuko pa1

haya mapenzi ya mitandaoni hapana.....,

unaona avatar ya Heaven on earth unajua ndio
nilivyo siku ukikutana nae ndo utakapojuta,na bado kama
mkiendelea hivyo mtakutana na hico faceless sana tuu
 
Last edited by a moderator:
Ila kama hujui kuumba kwanini uumbue?ujue sio vizuri hata unaemdhania sio faceless kesho aweza pata la kumpata mdomo ukahamia kichogoni?



accident under the earth is invetable once happen ts GOD's plan but go an search for dfn of faceless
 
vipi CALMAN...zina maana tofauti na hizo tatu?


umenisaidia mana san ktk uzi wang mrembo by nature naona ka mind nilikuwa namjibu acheki maana ulizoziweka nika mis reply
 
Last edited by a moderator:
Hilo swali ingelikuwa vyema kama ungelielekeza kwa Mungu Muumbaji maana ndiye aliyeumba kila kitu na kukiona chema mbele zake...
Ukituuliza sisi utakua watuonea tu na kututafutia laana...


mmmmh uzi wengi mbona mnapanic watu8 kwa kukusaidia tu kasome eugenics na nchi zilizofanya practice esp singapore, china, germany na nyngne pia
 
Back
Top Bottom