The chosen12
New Member
- Mar 27, 2024
- 1
- 9
Yaani mwanamke/mdada anatupiwa maneno machafu ya kudhalilisha au kushikwa sehemu ambazo sio stahiki(wanaume) pasipo ridhaa yake na hawezi kusema chochote wala kukataa kwa hofu ya kupoteza mteja, sidhani kama ni sawa.
Unaweza ukasema ni wao sababu hawajiwekei mipaka lakini issue inaanzia kwa mwanaume akiwa na respect sidhani kama haya mambo yanaweza tokea anapotoa pesa kidogo ya hicho chakula anahisi amemnunua mpaka mhudumu anaweza kumtreat anavojisikia yeye.
Tuwe na heshima na kujiweka kwenye nafasi ya mtu kuona kama wewe au ndugu yako angetendewa hivyo ungefurahi na kuheshimu kazi ya mtu.
Unaweza ukasema ni wao sababu hawajiwekei mipaka lakini issue inaanzia kwa mwanaume akiwa na respect sidhani kama haya mambo yanaweza tokea anapotoa pesa kidogo ya hicho chakula anahisi amemnunua mpaka mhudumu anaweza kumtreat anavojisikia yeye.
Tuwe na heshima na kujiweka kwenye nafasi ya mtu kuona kama wewe au ndugu yako angetendewa hivyo ungefurahi na kuheshimu kazi ya mtu.