...hata mwanaume mnywa pombe pia hapendezi.....kwa kuwa wengine huwa wanajinyea na kujikojolea...na baadhi yao mpaka wanaliwa kiboga kwa ajili ya pombe...
Tofautisha mnywa pombe na mlevi!
...hata mwanaume mnywa pombe pia hapendezi.....kwa kuwa wengine huwa wanajinyea na kujikojolea...na baadhi yao mpaka wanaliwa kiboga kwa ajili ya pombe...
Nimemiss zanzi, siku hiyo nitatambaa haki a mama....
Haipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.Kwa kweli nikisha ona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikua nina mpango nae for sure namtema mazima.
tena nyie wanawake wa kichaga ndio kabisaaa........
Sipendi pombe na wala sipendi mwanaume anaekunywa pombe
Sipendi pombe na wala sipendi mwanaume anaekunywa pombe
Wee mkaree basi!Tuuuuu? BIA? Je mi Vodka?
hata sijui ina ladha gani na thank GOD my hubby is not eitherunakunywa?
npo kwenye dozi dr wangu kanambia nisinywe...Umezimiss kwani zimeadimika? Au umepigwa stop na Dr?!
Wanaume wasio kunywa pombe ni mafalaaa... saa12 yupo hom kumuangalia house grl tu.. na niwachepukaj sana.. we drink rensponsbly saa3 npo hom.. mahaba motomoto
kweli ndogo ukilinganisha na upande wa pili...
Hata mwanaume haipendezi ndugu!
Halafu ulini quote kwenye ile thread ya wadada kuleee
Bt nimeshindwa kuku quote pia cjui kwann inakata
Wanajua wanakunywa coz kabila pia ndo hivyo
Kumbe ni kifungo ambacho shetani anakitumia effectively n very smart!
There's spirit behind
Khaaa mahaba motomoto huku unanuka mipombe chaaaa....!
Nimemiss zanzi, siku hiyo nitatambaa haki a mama....