jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Kila nikijaribu kukataa wanawake siwezi. Napata msongo mkali sana wa mawazo wanawake wame nitibua hata ladha ya mapenzi siijui tena .
Nahitaji matibabu ya kiakili,kifikra, dawa au sindano kama zipo ili nafsi yangu na moyo wangu utulie.
Mimi nimejitahidi sana kunywa pombe kali, kushinda bar ila nimeshindwa na nikiwa njiani nikiona gari natamani nijirushe humo ni gongwe wakati mwingine nikiwa katika floor za juu kabisa za magorofa marefu moyo unaniambia ni jirushe chini.
Nimeomba sasa nimechoka ndugu zangu . Niombeeni ni baki baki angalau maana naona sasa na teketea kabisa kabisa.
Pia aliyeteyari kua company yangu na mkaribisha. Awe ananipigisha story na kunipa mawaidha mpaka nikae sawa..
Nahitaji matibabu ya kiakili,kifikra, dawa au sindano kama zipo ili nafsi yangu na moyo wangu utulie.
Mimi nimejitahidi sana kunywa pombe kali, kushinda bar ila nimeshindwa na nikiwa njiani nikiona gari natamani nijirushe humo ni gongwe wakati mwingine nikiwa katika floor za juu kabisa za magorofa marefu moyo unaniambia ni jirushe chini.
Nimeomba sasa nimechoka ndugu zangu . Niombeeni ni baki baki angalau maana naona sasa na teketea kabisa kabisa.
Pia aliyeteyari kua company yangu na mkaribisha. Awe ananipigisha story na kunipa mawaidha mpaka nikae sawa..