Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Attachments

  • Screenshot_20240117-165330.jpg
    Screenshot_20240117-165330.jpg
    58.6 KB · Views: 4
Jichanganye funga nae ndoa na baadhi ya apartments na miradi muandike yeye kwenye hati.Utakuja lia kama mbwa Koko mwanamke hana huruma na wala haisi maumivu wala uchungu akijitoa ufahamu
 
Binadamu anahiitaji Ndoa zaidi akiwa na miaka 20 na 40 haijalishi jinsi na jinsia.

Ukweli Mwanamke mzee atahiitaji ndoa zaidi kuliko unavyodhani.

Kwa nini wakifikia umri huo, uolewa na yoyote ili mradi anapumua
Duuh mbona nimeshaelezea sababu kwenye hiyo comment uliyo quote au ulikimbilia kureply bila kuelewa mkuu
 
Unapenda sana ligi wewe. Sasa wanaume wenyewe wanaikandia ndoa hata waliooa tunakesha nao bar ukiwauliza vipi wanasema home makelele halafu wewe upo hapa unasema ndoa ina umuhimu kwa wanaume, yaani wanaume wenyewe hawaitaki ila wewe ambae sio mwanaume unasema ina umuhimu kwao, hivi ni mzima kweli wewe?
Sasa wanawake wangekuwa wanazitaka hizo ndoa wangekuwa na hayo makelele kwa waume zao, hata wanawake hawazitaki ndoa ila kutwa mnawasemea kuwa wanazitaka kiufupi dunia ya sasa jinsia zote, asilimia kubwa hawataki ndoa ila mwisho wa siku uzeeni wanaoteseka zaidi ni wanaume kuliko wanawake
 
Pamoja na kuwapenda na kuwanyenyekea hao 'waume' zao kwa dhati ila mwisho wa siku wameambulia usaliti na kuachwa kwahiyo hivyo ndivyo mnavyotaka, kuwa wanawake siku zote ndio wawe decent bila kujali wanaume zao ni watu wa aina gani ndio maana nasema msilaumu wanawake walioamua kuwa wabinafsi, sababu hamjui wamepitia mangapi toka kwa wanaume wasio na shukurani kama hao lakini cha ajabu maovu ya wanaume wenzenu huwa hamyakemei na mnayaona sawa kabisa
Wajibu wa wanawake kufungua thread za kudiscuss weakness za wanaume

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Usicho elewa nini?
Wewe umesema kwamba nimekana kanuni ya asili, na kwamba nilichokiandika ndicho kilichojaza subconscious mind yangu, ndio ueleze kivipi na inahusiana vipi na ile comment yangu uliyoquote
 
Wajibu wa wanawake kufungua thread za kudiscuss weakness za wanaume

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni nani anayeamua kwamba kufungua threads kuhusu jinsia fulani ni wajibu wa jinsia fulani, mnafungua threads za kutukana wanawake sababu ya tabia zao ambazo zinasababishwa na tabia zenu, halafu badala ya kujadili causes mnajadili consequences
 
Sio wanawake tu hata wanaume wanaokazia Mali zaidi yani kuona pesa ndio jambo la msingi zaidi, wakishazipata hawaoni umuhimu wa kuwa wanyeyekevu,ndio unakuta mtu anadharau hata ndugu,rafiki au wazazi,kwaiyo hiyo so kwa wanawake tu Bali hata kwa wanaume ndio yanapotokea mambo ya kuvimbiana n.k
 
Back
Top Bottom