Wanawake wana roho mbaya sana

Ni wazi hata kama mtabisha kuwa wanawake wana roho za ajabu hata angekuwa mama yako au yangu. Wote tumelelewa na wanawake tunawajua jinsi walivyo na mapenzi makubwa na viumbe vyao lkn vya wengine hawawahusu. Huu ni ukweli. Kama una mke au mchumba, rafiki chunguza vizuri. Usijifanye umependa sana kiasi kuwa huoni mambo hayo. Hatuna sababu ya kuwachukia kwa jinsi walivyo bali tunazidi kuwapenda ili wawe wnawke wazuri kwa tabia. Kwa maana roho mbaya nia asili yao.

Ni wazi kuwa wanaume wengi hawawaungi wapenzi wao ktk matendo yao maovu vinginevyo dunia isingekalika. Wanaume wengi wanavyofanya ni kuangalia, kusikiliza na kutoa ushauri au kukaa kimya bila kuchukua hatua kwa kile wanachowaeleza. Kila jambo analokueleza mpenzi wako sio ukweli mtupu. Hivyo pima maneno yao kabla ya kuchukua hatua.

Wanaume wengine wakiambiwa kitu mfano: (1) Huyu mdogo wako ana tabia hii au (2) huyu msichana wa kazi ni ................ au (3) Anakuja kukuambia mama yako ananiingilia ktk.................Halafu wnaume wengine walivyo mafala anaanza kuungana na wake zao kuwatimua. Chukua tahadhari na kuwa makini na uwawa-handle jinsi inavyofaa.
 
ndugu zangu,
wanawake wana roho mbaya!! Kama wauza sumu! Hacheni habari zenu eti mama kanizaa ni sawa lakini kwa niliyo shuhudia kwa macho yangu..wanawake wana roho mbaya ata shetani anawaogopa! Ulishawi kuona mama wa kambo wewe! Au mnatetea tu kisa maswala ya jinsia... Sisi kule kwetu ata wachawi wengi wao kama sio wote ni wanawake
kuna mambo wanawake wanafanya hadi dunia inashangaa! Ni wana roho mbayaaaaa!
 
Labda nimuulize mtoa mada, je hii ni stori ya jirani, mama yako au mke wako? Au ni mchanganyiko wa matukio toka kwa watu mbalimbali unamjudge nayo mtu mmoja?

ha wapi.. Roho mbaya tu imewajaa wanawake!!
 

haaaah haaah haaah
 
Kama wanawake wana roho mbaya, ni kina nani wanaobaka watu huko DRC as a weapon.
Kama wanawake wana roho mbaya, Joseph Konyi ni mwanamke?
Kama wanawake wana roho mbaya, Bin Laden alikuwa mwanamke?
Kama wanawake wana roho mbaya, umasikini wa Afrika unaosababishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe ni wanawake ndio wanaopigana?
Kama wanawake wana roho mbaya, al shaabab ni wanawake?
Kama wanawake wana roho mbaya, boko haram ni wanawake?
Kama wanawake wana roho mbaya, mafisadi papa wa TZ ni wanawake?
Kama wanawake wana roho mbaya, Jussa ni mwanamke?

Wanawake are peace loving caring beings. But frusturated like the ***hole aliyeanzisha hii mada na wale wanao support.
Shame on you who disrepect women. Fools!
 
Hapa ndio hasa roho mbaya yetu inapojidhihirisha. Kilaza sana mtoa mada.
 
Ndio maana wengi ni cheaters only because of reasoning.
 

kutokana na hii comment yako naweza kuamini kweli afrika inaongozwa na wanawake maana kama viongozi weng wa afrika wangekuwa wanareason tusingekuwa hapa tulipo
 
Bila mwanamke wewe usingekuwepo hapo Leo,muheshimu sana....
 
Hivi wewe Una mama, dada, shangazi, mke, marafiki wa kike, mtoto wa kike je , bibi....

Chunga sana maneno yako mkuu , unadhani
Unatukana wanawake au watoto wa wengine
Umejisahau ya kwamba wamekuzunguka..

At least hata ungesema si wote .. ..
Ukweli unauma,hapo hakuna matusi wala hajatukanwa mwanamke bali ni ukweli kuhusu wanawake including his/her and our family members(girls)!!!
 
Mkuu kama unagari na ofisi acha ku ringisha
Basi ..

We unamatatizo yako binafsi unamletea kila mtu .
si useme tu nini kulikoni upewe ushauri kuliko kumwangukia kila mwanamke ..
Mbona wewe inaonekana kama inakutouch,ukisikia yalaaaaah ujue limekupata aliyelenga ni mwenyeshabaha hakufanya makosa!!!
 
Mbona wewe inaonekana kama inakutouch,ukisikia yalaaaaah ujue limekupata aliyelenga ni mwenyeshabaha hakufanya makosa!!!

kama we unakubali yaliyoandikwa nawaonea huruma wanawake kwenye familia yako..

Nyie ndo wale fuata mkumbo.. Pole mi ni mwanamke na sikubalia na jinsi alivyoaandika
Haya mambo yapo lakini jinsi alivyoelezea amekosea sana.. Na kama unadhani tutakaa
hapa tukubali mambo haya imekula kwako..
 
Ukweli unauma,hapo hakuna matusi wala hajatukanwa mwanamke bali ni ukweli kuhusu wanawake including his/her and our family members(girls)!!!

so sad to see people like you...

don't say our because some of us don't agree with what he said..
so far is your family and his...
 

Asante kaka, watu wengine wao bora wa comment tu. Kuna Mangese mengine yanaweza sababisha ukala ban bure
 
so sad to see people like you...

don't say our because some of us don't agree with what he said..
so far is your family and his...

Halafu kama wewe Afrondezi mtu atakae kuoa atapata tabu sana. If u are already married then sorry on him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…