Wanawake wana roho mbaya sana

Wanawake wana roho mbaya sana

It depends on his/her social relationship background, usiwahi kumlaumu. Kuna watu wamefikwa na makuu. May be ndo mana anasema hivyo.

Ohhhhh
Well , goes both way
He should look every woman background
Before he judge them. .

Hana haki ya kusema wanawake wote.
 
nadhani hujazaliwa na mama ila umeshushwa kwa uwezo wa mungu.we nimpumbavu na ujitahd kushirikisha ubongo unapoandika vitu co kuropoka km umekatika fyuzi ya kichwa
 
Sikujua kama hili jukwaa siku hizi laweza tumika kama klabu cha wanywa gongo.......kila inapopanda kichwani ndipo stress za watu huchachamaa!!!
 
Sikujua kama hili jukwaa siku hizi laweza tumika kama klabu cha wanywa gongo.......kila inapopanda kichwani ndipo stress za watu huchachamaa!!!

We wanywa mnazi au kimpumu?
 
Why generalising? Rafiki yangu kalelewa na kusomeshwa na mama wa kambo baada ya mamaye mzazi kutengana na babaye, baadae babaye alifariki, alibaki na mama wa kambo, alimjali kama mwanaye wa kumzaa. Kwa hiyo si wanawake wote wanastahili lawama hizo.
 
1. Hebu akangalia mwanamke alivyokutunza miezi tisa tumboni huku akiteseka na masickness kibao.
2. Akapata uchungu mkali wakati anakuzaa.
3. Hakulala usingizi akikubembeleza na kukunyonyesha na kuharibu ujana wake kwa ajili yako!
4. Akifua matapishi na mimavi yako kipindi unajinyea
5. Akakusomesha hadi umekuwa na pesa kidogo, hadi umesahau kila kitu na kuanza kumsemea mbaya MAMA yako ambaye ni Mwanamke!

Ngoja niongezee nyingine:
6. Akawa anakubali baba yako aendelee 'kusafisha njia' na limuhogo lake la jang'ombe na kumsababishia mama yako maumivu makali ili hali wewe ukiwa umebakiza siku saba uje duniani, akawa anavumilia. Mtoto huna adabu wewe!
 
Stereo type concept...huyo ni mwanamke wako alivyo,sidhani km ni sawa kuhusisha kundi kubwa! Najua una mifano anuai ya wanawake walioishi na unaowaita 'house girls' ambapo ni angalabu utajua ni mtumishi wake...watoto wa kambo as well...sijui mtazamo wako ukoje kwa mawifi/wakwe pasua kichwa...vije binti wa watu apokwe furaha kila mara ili kuonesha kua "hana roho mbaya?''
 
Mkuu, weka disclaimer kwamba si wote. Ingawa kwa namna flani mwanamke akiwa katili, anafanya ukatili ambao kila mtu mwenye akili timamu anabaki kinywa wazi!
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

Ingawa si kweli kuwa wanawake wote wana roho mbaya, ila hapo kwenye watoto wa kambo nimeshashuhudia mahusiano mengi ambayo si mazuri.

Mwanamke mwanzoni mwanzoni mwa mahusiano na baba mtoto anakuwa anamtendea vyema sana huyo mtoto wa mwanamme.

Lakini pindi apatapo ujauzito na kuzaa mtoto wake mwenyewe mambo ndiyo yanaanza kubadilika. Sasa mwanaume na wewe ukikutwa uko zoba zoba wewe na mwanao mtapelekeshwa sana.
 
Sikubaliani na mtoa mada, ila hapoo kwenye mahousegirls (kumbuka asilimia nyingi ya wanawake hawana mahousegil) hapo nakubaliana na wewe.
 
Wanasema wanawake HAWANA HURUMA , Ila wana UCHUNGU,MEN WANA HURUMA,hata kibiblia wanawake ndio walioleta maasi mengi mfano Eva alipodanganywa Na nyoka,Ayubu aliambiwa na mkewe amtukane mungu ili afe,KICHWA CHA YOHANA KILIKATWA BAADA YA MTOTO WA MFALME kumwomba mama yake ushauri achague zawadi gani, KUZAA MTOTO KWA MWANAMKE NI SAWA NA KWENDA HAJA KUBWA NGUMU TU ,kwa hiyo kubeba mimba siyo issue sana ni mgawanyo tu wa majukumu wapo wanawake ni wabaya kuliko shetani.
 
Back
Top Bottom