Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
- Thread starter
- #121
Bila mwanamke wewe usingekuwepo hapo Leo,muheshimu sana....
That's cheap come on, kwani wewe bila mwanaume ungekuwepo?
Bila mwanamke wewe usingekuwepo hapo Leo,muheshimu sana....
Halafu kama wewe Afrondezi mtu atakae kuoa atapata tabu sana. If u are already married then sorry on him.
Well, Don't feel sorry for him ..
He is tough , very strong personality, a real man..
Afrondezi, utapoteza muda kwa huyo mtu; mke wake amemchanganya so ana faulty generalization kuwa wanawake wote wana roho mbaya. Kwani wanaume wote wana roho nzuri?
Asante kaka, watu wengine wao bora wa comment tu. Kuna Mangese mengine yanaweza sababisha ukala ban bure
Haya bana mi ngoja ni mwache na thread yake.. .... ..... TA
hahahahaaaa!!! Eti 'mangese'..........umasikini wa fikra huo!!
Nakupitia twende kanisani bibie!
si ajabu huko unawaza kumchoma moto mtoto wa mmeo uliyemkuta ulipokuja kuolewa..yaani roho mbaya zenu basi tu,mungu ndiye aliyepanga tuishi na nyie.
1. Hebu akangalia mwanamke alivyokutunza miezi tisa tumboni huku akiteseka na masickness kibao.
2. Akapata uchungu mkali wakati anakuzaa.
3. Hakulala usingizi akikubembeleza na kukunyonyesha na kuharibu ujana wake kwa ajili yako!
4. Akifua matapishi na mimavi yako kipindi unajinyea
5. Akakusomesha hadi umekuwa na pesa kidogo, hadi umesahau kila kitu na kuanza kumsemea mbaya MAMA yako ambaye ni Mwanamke!
Asante mwaya ngoja nikachukue mokasi zangu shuuuuuu shine..
Na ile gauni yangu ya zambarau mwehh..
We unautinga nini ..? Vaa ile kitenge ya manjano basi ..
Hapana! kukaa tumboni miezi 9, kuzaa kwa uchungu, n.k. sio hisani it is a format and there's no option, man!
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.
1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.
Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.
Tena kama nyie mlioenda enda shule ndo mna roho mbaya sana. Mnajifanya hamu entertain mambo ya extended family. Hivi unafikiri ulivyonikuta mimi nina kagari na kaofisi unadhani nilidondoka toka mbinguni? leo hutaki kaka zangu wala nani[/QUOTE
Mkuu mimi napingana na wewe kabisa! Mimi nimeishi na mama wa kambo, toka nikiwa na miaka 2 baada ya mama yangu kufariki. She treated like her own son and besides sijaona ktk familia yetu such things kwa wanawake wote, dada zangu, mashangazi, mama wadogo n.k.! Ningekubaliana na wewe ungesema BAADHI na sio wote.
Mfano?Baadhi Roho mbaya e.g blandina nyoni, bi kiroboto baadhi, roho safi
Subconcoiuosly karibu kila mwanamke anwaza hivosi ajabu huko unawaza kumchoma moto mtoto wa mmeo uliyemkuta ulipokuja kuolewa..yaani roho mbaya zenu basi tu,mungu ndiye aliyepanga tuishi na nyie.
hapo nilpo bold naona ndipo kwenye tatizo,lazima wazinguaneWanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.
1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.
Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.