Wanawake wana roho mbaya sana

Wanawake wana roho mbaya sana

aisee, bora kuoa mwanamme
kama wanawake ndo wabaya hivi.
 
aisee, bora kuoa mwanamme
kama wanawake ndo wabaya hivi.

Halafu mtazaa na hao wanaume wenzenu? Kama kweli tunaroho mbaya tungewaflash toka ni mimba ya miezi miwili, msingekuwepo leo hapa kujifanya vidume.

Bora yule aliyesema wakati wa kuzaa angebana zaidi ili mtoke mfuu
 
Hivi wewe Una mama, dada, shangazi, mke, marafiki wa kike, mtoto wa kike je , bibi....

Chunga sana maneno yako mkuu , unadhani
Unatukana wanawake au watoto wa wengine
Umejisahau ya kwamba wamekuzunguka..

At least hata ungesema si wote .. ..

Sijui kwa nini kina mama mnakuwaga wakali mtu anapoongea mambo anayoamini yeye.
Usidhani hajayaona hayo, ukute hao wenye roho mbaya ni mamake, dadake kumsema hawezi.
Tumeshuhudia mtu anaishi na mamake mzazi ila anakuambia kabisa kuwa mama ni mchoyo, hataki uje kula, hataki nikupe viatu nk.
Mbona ni kawaida tu, kama wewe huna roho mbaya just chill out!
Ametoa jambo lililopo kwenye jamii.
 
aisee, bora kuoa mwanamme
kama wanawake ndo wabaya hivi.

Just a thought na anaweza akawa ameshuhudia hilo kwao, may be mamake, mama mdogo, mama wa kambo, dada, jirani.nk.
Nadhani ni reflection ya hali ilivyo kwenye jamii.
The problem we have here is that women loves to be praised even when they do wrong while you all know the truth!
What type of great thinkers jamani.
 
Halafu mtazaa na hao wanaume wenzenu? Kama kweli tunaroho mbaya tungewaflash toka ni mimba ya miezi miwili, msingekuwepo leo hapa kujifanya vidume.

Bora yule aliyesema wakati wa kuzaa angebana zaidi ili mtoke mfuu

Unajua ndugu yangu hebu tuwe realistic hapa, kuzaa, kubeba mimba, sijui kunyonyesha, that is what you are born to be, isiwe tabu eti kisa umezaa basi ni excuse ya kusema una roho nzuri, so wanawake wasiozaa ndio tuwaweke kwenye group gani? Kama una roho mbaya usiambiwe? Wha a **** bandugu, kwani hakuna wanawake wenye roho mbaya tena wengi sana tu.
Kila siku media zinaripoti kina mama wanaofanya mambo ya ajabu mbalimbali.
Jifunzeni kukubali ukweli, mbona kila kukicha you talk about men being dogs wala hawasemi kitu wakiona wenyewe wanajichekea tu!
Ni jambo linalotokea kwenye jamii hakuna cha ajabu mbona wengi tu tunawafahamu.
 
Wanawachukia ma housegal wanaliwa na waume zao.......
Wanawchukia Watoto wakambo wanaharibu ndoa zao kwa namna moja au nyingine.........
wanawachukia wakwe wenye tabia za kutaka kuingilia ndoa zao na mipango yao na waume zao.......
Wanawachukia mawifi wanaoingilia maisha yao na kujidai wanataka kaka yao aishi wanavyotaka wao na si anavyotaka mke na mume.....
Mwanamke endelea kuwa ngangari wasije kukupangia nyumbani kwako uishi vipi!!!!!!!!!!!!!!!


Huyo mwanamke Blandina nyoni ni tabia zake tu kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume wengine wenye roho mbaya.

Sasa kumbe mawifi wanaingilia ndoa za kaka zao, hao mawifi sio wanawake. Problem yenu mkisemwa kidogo mnakimbilia kusema basi usingezaliwa, who said kuzaa ni ishu? Kama ulizaliwa mwanamke expect that to happen, kwanza siku hizi wavivu tupu kazi kukimbilia mkasi! Kama ni wanawake tunaowatetea basi mama au bibi zetu sio nyie wa siku hizi hamjui kumtoa hata kinyesi mtoto, kutwa mnanunua pampers mtoto anafutwa na vikaratasi kisa eti hygiene wakati anapata UTI.
Hebu kubalini ukweli, kunyonyesha siku hizi ni miezi mitano, sita mtoto anapewa S26!
Mama yupo bar kila jioni ukimuuliza eti nipo up to date, huyo ndiye mama wa kusimama mbele za watu na kutoa povu? Mtoto mwenyewe imebidi uzae na mume wa mtu kakusaidia upate kaheshima ka kujiita SINGLE MOM!
Lets be reasonable!
 
Hivi umewahi kukutana na hawa the so called single moms! N unakuta kamezaa na wanaume watatu tofauti, mmoja kalipa kodi ya nyumba kwa ajili ya mwanae, mwingine kanunua ka-RAV4 mwingine ndo anazuga tu. Huyo ukikutana nae atakuambia wanaume are dogs, kumbe anamatatizo yake! Bora muendelee kujigta single moms, nasi wanaume hatuna hiyana! Ukitaka mtoto ili ujisifie kuzaa unapewa kiroho safi, uwe single mom with psychological syndrome!
 
Ni wazi hata kama mtabisha kuwa wanawake wana roho za ajabu hata angekuwa mama yako au yangu. Wote tumelelewa na wanawake tunawajua jinsi walivyo na mapenzi makubwa na viumbe vyao lkn vya wengine hawawahusu. Huu ni ukweli. Kama una mke au mchumba, rafiki chunguza vizuri. Usijifanye umependa sana kiasi kuwa huoni mambo hayo. Hatuna sababu ya kuwachukia kwa jinsi walivyo bali tunazidi kuwapenda ili wawe wnawke wazuri kwa tabia. Kwa maana roho mbaya nia asili yao.

Ni wazi kuwa wanaume wengi hawawaungi wapenzi wao ktk matendo yao maovu vinginevyo dunia isingekalika. Wanaume wengi wanavyofanya ni kuangalia, kusikiliza na kutoa ushauri au kukaa kimya bila kuchukua hatua kwa kile wanachowaeleza. Kila jambo analokueleza mpenzi wako sio ukweli mtupu. Hivyo pima maneno yao kabla ya kuchukua hatua.

Wanaume wengine wakiambiwa kitu mfano: (1) Huyu mdogo wako ana tabia hii au (2) huyu msichana wa kazi ni ................ au (3) Anakuja kukuambia mama yako ananiingilia ktk.................Halafu wnaume wengine walivyo mafala anaanza kuungana na wake zao kuwatimua. Chukua tahadhari na kuwa makini na uwawa-handle jinsi inavyofaa.

Dah! Not even a word to add!
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

Personaly,naona kila mtu duniani ana njia yake ya kufikiri in relation to mazingira(past and present)..what you must admit is that you are wrong kugeneralize that all women wako the way you perceive them..now let me tell about this,some of us(nt i) women Hate men,you know why?.because our daddies molested us,our brothers abused us,men we loved and sacrificed all we had abondoned us when we needed them most(pregnancies,accident,alizaa mtoto mlemavu,kids got so sick etc),our bosses thought we dont have what it takes to make it than them pants off,wengine ni walemavu kisa vipigo kutoka kwa wanaume... majeraha yako mengi!can fill them pages to the limits!. so please,dont talk like y'all so innocent..if you are good,pray hard upate wa kufanana nawe,if you aint,pray hard you change!.don't judge.
 
Personaly,naona kila mtu duniani ana njia yake ya kufikiri in relation to mazingira(past and present)..what you must admit is that you are wrong kugeneralize that all women wako the way you perceive them..now let me tell about this,some of us(nt i) women Hate men,you know why?.because our daddies molested us,our brothers abused us,men we loved and sacrificed all we had abondoned us when we needed them most(pregnancies,accident,alizaa mtoto mlemavu,kids got so sick etc),our bosses thought we dont have what it takes to make it than them pants off,wengine ni walemavu kisa vipigo kutoka kwa wanaume... majeraha yako mengi!can fill them pages to the limits!. so please,dont talk like y'all so innocent..if you are good,pray hard upate wa kufanana nawe,if you aint,pray hard you change!.don't judge.

Hili nalo neno!
 
Mkuu LE GAGNANT,

Huo mfano wako unaweza kuapply kwa wanawake wachache sana labda mmoja kati ya mia sijawahi kuona mama wa kambo akampenda mtoto wa mwanamke mwingine.Bahati nzuri ninayo mifano mingi sana ya watoto wanavyonyanyasa na mama wa kambo sijaona hata mtoto mmoja akipewa haki zake za msingi chini ya uangalizi wa mama wa kambo.


Why generalising? Rafiki yangu kalelewa na kusomeshwa na mama wa kambo baada ya mamaye mzazi kutengana na babaye, baadae babaye alifariki, alibaki na mama wa kambo, alimjali kama mwanaye wa kumzaa. Kwa hiyo si wanawake wote wanastahili lawama hizo.
 
Mkuu LE GAGNANT,

Huo mfano wako unaweza kuapply kwa wanawake wachache sana labda mmoja kati ya mia sijawahi kuona mama wa kambo akampenda mtoto wa mwanamke mwingine.Bahati nzuri ninayo mifano mingi sana ya watoto wanavyonyanyasa na mama wa kambo sijaona hata mtoto mmoja akipewa haki zake za msingi chini ya uangalizi wa mama wa kambo.

mimi nina mifano ya wamama waliowapenda watoto wao wa kambo na at the end of the day,they ended up being the bad ones!nina mifano ya baba wa kambo waliowageuza watoto wa kike na kiume kuwa wake zao!nina mifano ya housegals waliokua treated like part of the families and ended up sleeping with the husbands,robbed houses,walichoma watoto kwenye oven,walikula chakula cha watoto and left them hungry!one thing,be the change and dont expect people to do the same always,usijudge wote kisa wale uliowaona ni negative..toa solutions/advice bwana,stop pointing fingers on people(especially the opposite sex)while deep down your heart you know that hata nyie kuna mambo mabaya mnafanya!.tena sana!
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

Kazi kweli kweli!
 
Roho mbaya banaaaaaaaaaaaaa. Yaaaaaaaani hata kale ka naninino watakuzungusha weeeeeeeeeeeeeeeeeee! wakti wanaume ukiwaomba wanakupa tu! Ingawa sio wote etieeeeeeeeeeeeeeeee! Du! Lakini kweli wengi wenu mna roho mbaya!
Unabeba mimba miezi 9 unatupa mtaroni mtoto! Haya bana!
 
mtoa mada nafikiri kaleta hii mada direct mno bila kumumunya maneno, ila mama/dada zangu naweza kusema si wanawake woote wanaroho mbaya ila wengi wao wanaroho mbaya sana ukweli ukiwaona machoni ni tofauti na roho zao, hili kwangu nina uzoefu nalo, mimi nimezaliwa nikiwa na miaka miaka miwili tu baba yangu alifariki mama yangu akaamua kuolewa na mwanaume mwingine ila masharti ya kuolewa aliambiwa hataki awe na mtoto ambae ni mimi mama akakubali akamuachia shemeji yake ambae ni baba yangu mdogo mama huyo akaenda nje ya nchi kuolewa mimi nikatunza na hawara wa baba yangu mdogo(sio mke wa ndoa i mean) ila walikuwa wanaishi pamoja na kuzaa watoto huyu mama alinitunza na kupata elimu bila kinyongo na vile vile sikuwahi hata siku moja kujutia kwa nini ninaishi na mama ambae sio mama yangu mzazi kama kunikanya alikuwa ananikanya na kunipiga vile vile kama nimekosea yote haya ni kunipa matunzo yanayo stahili mpka nimefikisha 27 na watoto wake wananisikiliza na kuniheshimu kama kaka yao na mama huyu anasema msikilizeni kaka yenu. mama yangu karudi ndoa imevunjika siwezi kusema kuwa mama yangu namchukia wala nini ila ukweli alikuwa hana roho ya ki utu na ninampenda na ninamheshimu sana maana tunaambiwa hata mama yako afanye nini huna budi kumsamehe sasa na vile vile nimeishi na majirani jamani hawa house girl wanateswa sana huu ni ukweli na watoto wasio wazaa ni matatizo sana na hata mimi nilikuwa najiuliza nilivyokuwa mtoto mbona mimi sifanyiwi hivyo?? nikagundua kuwa sio wanawake woote wanaroho hizo ila wengi wao wako hivyo cha msingi kama mwanamke ni bora ujitambue uko kundi gani basi wala haliitaji maneno na sisi tumeshawazoea kwa hili tutaendelea kuwapenda na kuwaheshimu siku zote.
 
Utashangaa hapa jibu utakalopewa litakuwa " alitimiza wajibu wake kwa sababu hakuomba kuzaliwa na huyo mwanamke, ila raha zake za kitandani na mpenzi wake ndio zilileta matokeo!"
1. Hebu akangalia mwanamke alivyokutunza miezi tisa tumboni huku akiteseka na masickness kibao.
2. Akapata uchungu mkali wakati anakuzaa.
3. Hakulala usingizi akikubembeleza na kukunyonyesha na kuharibu ujana wake kwa ajili yako!
4. Akifua matapishi na mimavi yako kipindi unajinyea
5. Akakusomesha hadi umekuwa na pesa kidogo, hadi umesahau kila kitu na kuanza kumsemea mbaya MAMA yako ambaye ni Mwanamke!
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

wanawake hawana roho mbaya na wenye roho mbaya unayoisema basi kwa asilimia 80 imesababishwa na nyie wanaume. wanawake wengi ni wakali ila wana huruma, sasa nyie mnashindwa kutofautisha ukali na roho mbaya.

1. mume wako kutembea na housegirl, lazima hata akija mwingine umuonyeshe ukali kulinda ndoa yako kama umeolewa.
2. kuhusu wakwe na mawifi, wewe mwanaume umeoa lakini huna maamuzi mpaka usikie mama na dada wameafiki, mkeo humsikilizi hapo unategemea nini?

badilikeni na kuwaheshimu wake zenu muone kama hizo you call roho mbaya mtaziona.
 
...Ungesema "baadhi ya wanawake" badala ya kuwaweka wanawake wote katika kapu moja. Nimewaona wanawake ambao wanawajali watoto ambao si wao kwa mapenzi ya hali ya juu kama vile ni watoto wao kabisa na pia wanawajali sana wakwe/wifi zao kama ni wazazi/dada wao/zao kwa kila hali.

Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.
 
Aa mtihaan,baadae mtu akiwa mkubwa anamuonea haya baada ya machungu aliyo mpa
 
Back
Top Bottom