Wanawake Wana drama hatari

Wanawake Wana drama hatari

Mwanamke wako akishaanza kukata mawasiliano tafuta mwingine, usitake wala kujua sababu, huo mda wa kuanza kuchunguza ni bora uanze kujiweka sop sop na kuvizia binti mwingine. ukiingia kwenye shimo la kujaribu kuchunguza ni kwann kabadilika basi jiandae kisaikolojia. Mwanamke ukihisi tu si mwaminifu, usisubiri prove nenda katafute mkali kuliko yeye. Halafu usiumie kukataliwa, ni kawaida tu kwa mwanaume wala si ishu. Una nafasi ya kutembea na binti wazuri under 25 hata ukiwa na 45 years just imagine.

Wewe si kichaa Ila ukijiendekeza kuwa unajua kupenda sana basi utakuwa kichaa.
 
Glenohumeral joint,
Sawa mkuu ila si upo Dsm? We ingia zako kariakoo, mwenge, makumbusho au m-city ukajiopolee mtoto mzuri mitaa hio usiumize kichwa sana blaza...kama vipi kesho kanunue jeans kali, t shirt na mashati makali na timberland boots au sneakers za kinyamwezi halafu wikend unaibuma zako mitaa hio au hata ufukweni mwa bahari upate mtoto mpya akukeep busy..mzee..
 
kwa sasa heri ukatafute tu shamba ulime ukitoka huko umechoka usome Biblia kisha ukalale tu wanawake ni watu wa ovyo kabisa yaani hakuna mwanamke asiye na wapenzi wawili kuendelea ukimpata uyo basi chonga kibanda tu umfiche zaidi na pia nakupa msemo wa shem wangu

"WANAWAKE WOTE HUGAWA UCHI WAO POPOTE " Kwa hivyo usiwaweke kichwani hata kama wanakutendea maajabu
 
Yaani katika 1 ya viapo vikubwa nilivyowahi kula katika maisha yangu ni kumuamini Mwanamke......sinto weza kumuamini Mwanamke hata nikiwa mfu

Nashirikiana nao katika mambo mbali mbali " huwa sina chuki nao...nawa heshimu.nawapenda kwa sababu hata dada zangu/mama yangu pia ni wanawake" But when it comes masuala ya uaminifu especially katika mapenzi. Aisee kwangu hilo ni BIG NO...

Nimeshuhudia usaliti mkubwa sana toka kwa wanawake dhidi ya wapenzi /waume zao....Licha ya kufanyiwa kila kitu na wenza wao lakini kwao haijawahi kuwa inatosha Sasa mimi ninani haswaa mpaka nijidanganye kuwa Mwanamke wangu nimuaminifu Aisee huo ujinga huwa sitaki kushiriki labda nirogwe .......huwa nina amini kwamba katika group la wanawake 10 wawili tu kati ya hao 10 ndio huwa hawatoki nje ya mahusiano yao....

Sisemi kwamba Hakuna wanaume ambao sio waaminifu ..Tupo wengi tu tena sana."ila kwa kuwa topic ya leo ina wahusu wanawake acha nijikite katika upande wao zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom