Wanawake Wana drama hatari

Wanawake Wana drama hatari

wanaume tuna kazi sana hapo unaambiwa babe niache nilale kidogo ntakupigia au nafanya assignment ntakutafuta kumbe jamaa ana drill papuchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
N noma mzee baba....nakumbuka huu mtombano wa mwisho demu alimuaga huyo mshikaji wake kuwa atasoma usiku huo kuanzia saa moja mpk nane usiku,na kesho anaamkia kufanya paper...yaan n balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Glenohumeral joint, Usirudie kumwamini sana Mwanamke bila kumchunguza vizuri sana.

Na hata ukishamchunguza sana usimwamini kwa 100%.

Mkasa kama huu umetukuta wengi tu.

Cha muhimu Muombe Mungu huku ukitulia halafu kuwa ''PATIENCE'' yaani uvumilivu tu huku unamwomba Mungu ndio utakusaidia.

Mungu atakupatia mwenye nafuu (Sio Malaika) ila mwenye nafuu mtakaeezana nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee sio wewe tu, mie mbona niliwahi kukutana na ishu kama yako. Tena bora wewe hukutumia mali zako kumtunza. Mie niliwahi kumhudumia hadi akawa ananitambulisha kwa mama yake na nilifika hadi home kwao mama yake alinijua lakini baadae akapindua Meza. Akarudiana na Ex wake. Wasichana wa chuo sio wa kurukia kichwa kichwa mazee
Daaaaah,so sad ....I can imagine ur pain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni maisha ya kawaida sana kwa wadada wa vyuoni. Nakumbuka wakati nipo chuo, nilikuwa na mahusiano kama haya ya mtoa mada. Ila tukiwa mwaka wa pili chuo ndio nilikuja tambua dada niliekuwa nae alishaolewa na mwanajeshi na ana mtoto mmoja na anasomeshwa na mume wake. Wanawake wana drama hatari sana.
 
Hawa viumbe ukiwaruhusu waongee utapigwa kamba hadi ujione wewe ndio unakosa. Unaweza jikuta unaomba msamaha kabisa.
Next time ukishapata ushahidi kama ule wa facebook kujumlisha na zile chenga chenga, wewe kula kona.
Na huyo baharia mwingine sijui ana shida gani, hivi mwanamke kakucheat mwaka mzima bado unataka kuoa? Watu tupo tofauti sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni maisha ya kawaida sana kwa wadada wa vyuoni. Nakumbuka wakati nipo chuo, nilikuwa na mahusiano kama haya ya mtoa mada. Ila tukiwa mwaka wa pili chuo ndio nilikuja tambua dada niliekuwa nae alishaolewa na mwanajeshi na ana mtoto mmoja na anasomeshwa na mume wake. Wanawake wana drama hatari sana.
Daaaah.....bhc n zaidi ya hatari aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa viumbe ukiwaruhusu waongee utapigwa kamba hadi ujione wewe ndio unakosa. Unaweza jikuta unaomba msamaha kabisa.
Next time ukishapata ushahidi kama ule wa facebook kujumlisha na zile chenga chenga, wewe kula kona.
Na huyo baharia mwingine sijui ana shida gani, hivi mwanamke kakucheat mwaka mzima bado unataka kuoa? Watu tupo tofauti sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom