Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,055
- 2,911
- Thread starter
- #61
@uhurumoja,Hahaha ...hpn bhn maana kimasihara haina hata kutongoza ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishanitokeaga hyo Kama ya kwako Sasa wengne hadi kagar tukamnunulia mrembo ila kumbe kuna jamaa kwao anasubiria mke wake tu ila mwisho wa siku gar tukachukua akaenda kwa mumewe aiseee ila wanajua kuigiza Sana
😂😂😂😂 Kweli aise, kuna msela nilimkuta sehemu saa 7 ya usiku anamfuatilia demu wake baada ya kuhisi demu anamsaliti; nilibaki nasikitika tu na nikaona mapenzi ni ya kifala sanaMkuu ndo unagundua leo maigizo ya hawa viumbe? Pole sana, usidhani watu tunaamua kuwa mabaharia tunapenda, ni kwaajiri ya upumbavu kama huo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah....yaan inasikitisha sanaIshanitokeaga hyo Kama ya kwako Sasa wengne hadi kagar tukamnunulia mrembo ila kumbe kuna jamaa kwao anasubiria mke wake tu ila mwisho wa siku gar tukachukua akaenda kwa mumewe aiseee ila wanajua kuigiza Sana
Sasa sijui walivyokuwa wanaongea na nyoka waliahidiana nin aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
ameen""If you want to live long never ever trust a women , never take women as a serious creature"""""""
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nmejua saiv mkuuSingidani tena,unataka tukusaidiaje mkuu,kwani hujui stori za madem wa huko????
Hz inshu za wanawake wa singida nazijua sema drama za binti zilinipumbaza ...ndugu walinikanya kuhusu nyaturu land ila sikuwasikiliza,niliishia kuwaambia huyu wangu ni mnyaturu wa tofauti,istoshe n msomi so sikutegemea Kama angekuwa mzinzi kiasi hiki....kibaya zaidi anasomea kozi za afya so she knows everything about STDsDaah aisee huýo manzi ni hatari hata mimi angefanya makaratee kama hayo ningemkubali ila mwana kwani bi mkubwa wako hajawahi kukuambia kuhusu wanawake wa singida ?