Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,971
- 22,163
WAZO LA LEO
""USIKUBALI KUWA MSUKULE WA KUTUNZA NYUMBA ZENU KILA SIKU""
wamama/madada achen kukaa weekend bananeni na waume zenu wikiendi..mnaitaji kupata raha kama wao..sisemi wanakuwa na wengine la hasha hayo ni matokeo ila wamama wengi wanaaribu ndoa zao wenyewe..wee mumeo kila weekend naenda bagamoyo mara zanzibar kuna nini mi sitakiwi...kuna vitu vingine hata kwenye baibo wansema unaitaji kungangana ili uvipate ...mwambie leo mume wangu tuko pamoja mpka wikiend iishe na kumwpnmyesha umejitayarisha weka vijisent vyako mkifika kunani toa ila kumbuka kuweka nauli zenu za kurduia mfuko wa kushoto hilo litakusaidia sana kuavoid aibu ya mwaka anyway wengine zishazoeleka/
Nini maana yangu wanandoa jitahdini kupendana na kuweka mamisha yenu safii hasa weekend mkiwa mmetuliza akili zenu si lazima muende bagamoyo la hasha mnaweza kwenda hata RUVUMA MPAKA MAPUTO pale bbuguruni la hasha mkikaa masaa mawili mnatuliza kichwa kwa kuhojiana tufanyeje hny wiki ndio inaisha hivyo mwezi ujao tunatakiwa hiki na kile unajua wazazi wetu nao tunaitaji kuwapelekea hiki na kile na mengine mengi ya watoto wenu..inasaidia sana kufanya brain inarelax..mi nikiwa free napenda kwenda slip way namwambia mkewangu miaka hiyo nikiwa alone na penda kukaa haa nikila koni yangu huwa akicheka naweza hata kurudi nyumban at least nimeona futaha yake.....lakini ....
Bado nawalalamikia nyie midume mnayoweka wake zenu km 6 na nyyie ama mmetangulia ama mko nyma yao yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy???????????jamani umetoka nae wa nnini??naziona sehemu nyingi hasa nduguzetu wa kina boyfriend na gfriend loh unakuta mtu anapandisha ngazi za slip na muhindi unajua jamaa kakamata mlupo kumbe mwenye mali yuko anakuja kwa chini ,,,ni kweli wengine walikuwa na tabia za kuchukua vitoweo pale slipway sasa kama ujaweka wazi jamani nina mchumba ama mke nimeoa mkeo atabaki kuwa msukule wa safari zako zote na wewe ukifanyika mganga wa kienyeji....Embu hilo pepo linalokufanya umwogope mkeo/mumeo wasehmu za starehe acha kuanzia leo ukiweza mshike kabisa mbona mlikuwa mkishikana kanisan jamani..anyway nisifike mbali\
ACTIONS BETTER THAN WORDS
""USIKUBALI KUWA MSUKULE WA KUTUNZA NYUMBA ZENU KILA SIKU""
wamama/madada achen kukaa weekend bananeni na waume zenu wikiendi..mnaitaji kupata raha kama wao..sisemi wanakuwa na wengine la hasha hayo ni matokeo ila wamama wengi wanaaribu ndoa zao wenyewe..wee mumeo kila weekend naenda bagamoyo mara zanzibar kuna nini mi sitakiwi...kuna vitu vingine hata kwenye baibo wansema unaitaji kungangana ili uvipate ...mwambie leo mume wangu tuko pamoja mpka wikiend iishe na kumwpnmyesha umejitayarisha weka vijisent vyako mkifika kunani toa ila kumbuka kuweka nauli zenu za kurduia mfuko wa kushoto hilo litakusaidia sana kuavoid aibu ya mwaka anyway wengine zishazoeleka/
Nini maana yangu wanandoa jitahdini kupendana na kuweka mamisha yenu safii hasa weekend mkiwa mmetuliza akili zenu si lazima muende bagamoyo la hasha mnaweza kwenda hata RUVUMA MPAKA MAPUTO pale bbuguruni la hasha mkikaa masaa mawili mnatuliza kichwa kwa kuhojiana tufanyeje hny wiki ndio inaisha hivyo mwezi ujao tunatakiwa hiki na kile unajua wazazi wetu nao tunaitaji kuwapelekea hiki na kile na mengine mengi ya watoto wenu..inasaidia sana kufanya brain inarelax..mi nikiwa free napenda kwenda slip way namwambia mkewangu miaka hiyo nikiwa alone na penda kukaa haa nikila koni yangu huwa akicheka naweza hata kurudi nyumban at least nimeona futaha yake.....lakini ....
Bado nawalalamikia nyie midume mnayoweka wake zenu km 6 na nyyie ama mmetangulia ama mko nyma yao yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy???????????jamani umetoka nae wa nnini??naziona sehemu nyingi hasa nduguzetu wa kina boyfriend na gfriend loh unakuta mtu anapandisha ngazi za slip na muhindi unajua jamaa kakamata mlupo kumbe mwenye mali yuko anakuja kwa chini ,,,ni kweli wengine walikuwa na tabia za kuchukua vitoweo pale slipway sasa kama ujaweka wazi jamani nina mchumba ama mke nimeoa mkeo atabaki kuwa msukule wa safari zako zote na wewe ukifanyika mganga wa kienyeji....Embu hilo pepo linalokufanya umwogope mkeo/mumeo wasehmu za starehe acha kuanzia leo ukiweza mshike kabisa mbona mlikuwa mkishikana kanisan jamani..anyway nisifike mbali\
ACTIONS BETTER THAN WORDS