Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,856
- Thread starter
- #381
Ngoja nifikishe hiyo 40 yako ndipo nikakapoweza kukubaliana na kukataliana na wewe kwa kutumia experience yangu mwenyewe. Maana nimepitia 20s na sasa hivi niko kwenye 30s na kwa mengi kama si yote nakubaliana na mchungaji Kaizer kwa muda huu.
hahahaa Kaunga si unajua tena EMT anajaribu kuweka mawazo tofauti. Nashukuru kwamba walau kwa hili tunakubaliana.....lol
Last edited by a moderator: