Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

mi tuu napendaga shape zao kubwa unakuta mdada mnene yani kalivuta hadi bac ukiangalia huko nyuma ndo kabisa unakuna moyo wangu mkubwa. najua iko siku tu
 
watu mna mambo eti wenye 40 kama 30, wenye 30 kama 20 bac wenye 20 kama 10
 
Older the berry, sweeter the juice, huh?. Sasa basi, kama wewe ni mwanamama na hujafika 30, usiongee na mimi kuanzia sasa. Subiri kwanza ukue.
 
Mimi Mwenyewe Huwa Nawapenda Sana Ile Mmekubaliana Mkutane Sehem Anavulia Kyupi Nyumbani Kwao, Sio Hawa Dogodogo Anakuja Amevaa Vyup Viwili, Tait, Mbili Suluali Kakaza Na Mkanda, Kaazima Na Katoto Ka Jirani Ndio Anakuja Et Unasemaje?
 
Mimi Mwenyewe Huwa Nawapenda Sana Ile Mmekubaliana Mkutane Sehem Anavulia Kyupi Nyumbani Kwao, Sio Hawa Dogodogo Anakuja Amevaa Vyup Viwili, Tait, Mbili Suluali Kakaza Na Mkanda, Kaazima Na Katoto Ka Jirani Ndio Anakuja Et Unasemaje?

Duuuuh!
 
Loooh afadhali leo umetutia moyo wa 30s. Subiri siku waamke vibaya mapovu yanavyowatoka sasa

Aisee! Kumbe uko kwenye number ya nzuri eh? Nice to meet you Heaven Sent. I believe in Heaven too.

Tyrese+Gibson+2006+American+Music+Awards+Press+_I5uIwYoSyUl.jpg
 
Eeeh yani wakivurugwa tu wanatumalizia sisi hasira zao hehheeh

Tena unaona mtu anaongea kwa mihemkooo, unajua tu huyu kapigwa kibuti either na 30's au single mom, nachekaga.
 
Back
Top Bottom