Wanawake walikuwa zamani

Wanakera sana Mkuu.

Mahusiano yako hatua ya kwanza tu mizinga kibao,tumejuana hata wiki haijaisha umekula kuku zangu na bia za kutosha baada ya 6/6 nikakutoa na hela ya uchakavu ya kutosha ndani ya siku mbili anakupigia cm akiomba laki ya saloon,mh!!!
 
dunia duara, wanaume walikua zamani siku hizi wanafight na wanawake, wanashindana kila kitu,

umeonaa eeeh!sa hv wote wanashindana kukata miuno kwenye kibao kata ,kutunza,kusasambua na kuolew nao wanaolewa pia......!!!!
 
Mahusiano yako hatua ya kwanza tu mizinga kibao,tumejuana hata wiki haijaisha umekula kuku zangu na bia za kutosha baada ya 6/6 nikakutoa na hela ya uchakavu ya kutosha ndani ya siku mbili anakupigia cm akiomba laki ya saloon,mh!!!

hahahaha, mkuu unaongelea uchakavu gani?
 
Unyanyasaji ni ushujaa? Wanamme wanakwisha.
 
Dunia ya leo, baadhi ya wanamme wako frustrated sana, uhuru wa kiuchumi, kifkira unawaumiza sana.

Mwanaume ukiwa hovyo utaoa mwanamke wa hovyo

Mwanaume ukiwa wa hovyo mkeo atakujibu hovyo tu

Hovyo lazima iwe na hovyo ili ikamilike
 
well said brother, siku hizi wanajikuta na sauti....ooh wanataka haki zao

ukitaka kuona haya hebu angalia comments za wanawake katika huu uzi ndo utaamini wanawake wa siku hizi HASARA, kuna mmoja yeye hadi katutukana mashoga.
 
Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke
 

Fast forward miaka 50 ijayo, ndio wengi tunaosoma hapa hatutakuwepo, vijana wa wakati huo watasema haya haya yanayosemwa sasa. Wanawake walikuwa zamani !
 
Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke

Natamani wakunipa hela na mimi ha ha ha. Nikikosa sitanuna lakini. Take my word ho ho ho!
 
Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke
Leomimi mambo vipi?
 
Last edited by a moderator:

kaah hivi bado watu wanenda kutoa sadaka ukweni mwanao nimemkuta bikra
 
Tukianza kulinganisha ya jana na leo mbona itakua kazi..
hakuna binadamu ambae yuko static,wote wamebadilika iwe negative or positive..tukutane kati tu lol
 
aahhh kumbe wewe ndio mke wangu leo utanikoma ,umesema mimi nimenuna?
Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke
 
ndo maana hata kuolewa imekuwa tabu sana na ukiolewa ndoa haichukui muda chali.

Sasa mtu anakuonea anaku dunda michepuko bado nivumilie aisee ni ngumu kama nikuolewa na niciolewe kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…