Wanawake wakati mwingine michepuko mnaitafuta wenyewe

Wanawake wakati mwingine michepuko mnaitafuta wenyewe

Wanachoshindwa kusema ni kwamba...

Mume wangu mi saiv nimekuchoka...tafuta wa kunisaidia..

😂😂😂😂

Katika hii taasisi ndugu zangu waislamu huwa nawaelewa sana.
 
Hapana mpenzi, usije ukaahirisha kunioa bure...huu ndio muda wa kukuimpress nisijekosa kuvaa gauni jeupe[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahah kazana aisee maana mchezo wa quaito na jesus luv mi tumachooo unaeza ishia kuuona "Trace Mziiki" tu badala ya kwenye shela ukiwa na maids wako.

Zile mbinu zenu za kijasusi mnazotumiaga tumeshaanza kuziangalia kwa jicho la 3.

Hadi I wish i kudu be IGP 😂😂😂
 
Wanachoshindwa kusema ni kwamba...

Mume wangu mi saiv nimekuchoka...tafuta wa kunisaidia..

😂😂😂😂

Katika hii taasisi ndugu zangu waislamu huwa nawaelewa sana.
Hahahah visingizio vikizidi unatafuta pa ku exhale tu...maana pete ushamvisha kwa mbwembwe sana ila at last anakufua tu mpaka kifo kiwatenganishe!
😂😂😂😂😂😂😂

Wazee wa al muslimina wameeka vipengele sawa kabisa. Mtu akileta fyoko fyoko anapandishwa cheo tu. Kifungu ambacho wanawake wengi hawakipendi ata kukiskia ila kukusumbua mume hawaoni kama ni kero.
 
Kwahio unataka ku justify nini? Hili swala la kazi mbona linatumika kama ishu sana wakati wengine baba zao walipoyumba kiuchumi mama zao walijitoa muhanga wakaendesha familia bila kuleta dharau kwa wazee wao na wapo humu.

Acheni ubinafsi aisee, kwa akili hizi mume akipata ulemavu hata uji atapikiwa kweli? Mi mwanamke wangu ntaishi nae the old fashioned way na tutakwenda vuzuri tu.

Kama mwanamke hawajibiki kwa lolote kwenye ndoa sidhani kama anastahili kuwepo ndani ya hio taasisi.

Unyumba umeufanya kuwa ni silaha katika maisha ya ndoa. Kama kuna vitu vya lazima na muhimu huvitimizi kama mwanaume unadhani mkeo atakupa unyumba. Nendeni kwa michepuko mkatimize haja zenu. Maana hata mkipewa kama dose ya panadal bado mtatoka nje. Wengine mmepata sababu tu.
 
Michepuko inaimarisha ndoa,wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanajisahau sana hata kujifanyia usafi kwao ni shida.
 
Wakati wa uchumba wanawake wanakuwa viumbe wengine, wazuri na wenye mapenzi, wakati mwingine mwanaume hufanyiwa vitu mpaka unatangaza ndoa bila kujua. Kipindi hiki mapenzi yanakuwa moto moto, kila ukihitaji unapewa, kazi zote unafanyiwa, kumbe ni kampeni ya kuisaka ndoa.

Mara tu mnapoolewa wanawake mnajisahau sana, dharau, viburi, ujuaji, mapenzi zero mbaya zaidi hata kile chakula chetu pendwa unapewa kwa kupangiwa, kila siku mnuno, mvivu, na kutokujali.

Wakati mwingine unaoa ili upate pumziko la mwili na akili pindi ukichoka lakini unajikuta umeingia kwenye moto ambao huzimiki, hivi kweli kwa hali kwanini mwanaume nisitafute mchepuko wa kupata pumziko, bahati nzuri pia michepuko inajua kucare na haina kelele nyingi.

Hebu wanawake jaribuni kutufanyia yale mliyokuwa mnatufanyia enzi za uchumba muone kama tutachepuka, hata tukijaribu nafasi itatusuta.
Labda kama mmechokana ila kama upendo bafo upo basi ndoa ni tamu kila siku hakuna haja ya mchepuko
 
Wanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread... [emoji3][emoji3][emoji3]
You said it all
 
Umewahi kuona kampeni baada ya uchaguzi?!!!!

Hili swali huwa mnapenda sana kuliuliza tukiwahoji kuhusu nyie kubadilika baada ya ndoa, sasa twendeni hivi hivi hadi kieleweke.
 
Wanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread... [emoji3][emoji3][emoji3]
hii comment yako naifananisha na lile jibu la "ukiona mwanamke ana kiburi basi chanzo ni mwanaume"

ni kwanini hapa jf mwanamke anavishwa utakatifu sana?
 
Kwahio unataka ku justify nini? Hili swala la kazi mbona linatumika kama ishu sana wakati wengine baba zao walipoyumba kiuchumi mama zao walijitoa muhanga wakaendesha familia bila kuleta dharau kwa wazee wao na wapo humu.

Acheni ubinafsi aisee, kwa akili hizi mume akipata ulemavu hata uji atapikiwa kweli? Mi mwanamke wangu ntaishi nae the old fashioned way na tutakwenda vuzuri tu.

Kama mwanamke hawajibiki kwa lolote kwenye ndoa sidhani kama anastahili kuwepo ndani ya hio taasisi.

Ndio ukome lol

Angalia pattern kule love connect,mnataka kuoa mwanamke msomi aliye na kazi...

sasa unadhania inakuja at what cost?...

yeye sio robot,hapa watoto,hapa mume,hapa kazi....kuna kutakapopwaya tu,,,

wachache wanaweza kubalance...

hafu mtukome kila siku mnasema wanawake tunataka ndoa tu..lol


ukweli ni kuwa ukikutana na mtu unataka kuwa na uhusiano naye..wote mna consider 'trade offs'...

wote mwanaume na wanawake kuna vitu 'vimetiki' kwenye list yako before proceeding with marriage...

sasa kama mnalia lia kama 'mmetapeliwa' vileee..hahaaa..hilo lenu,mlibebe
 
Mnabisha bure tu hata Bible inawakumbusha kukaa na wake zenu na kuwafurahisha Extrovert soma hiyoooooo

Kumbukumbu la Torati 24:5

Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yo yote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.

Sasa nyie wanaume wa JF mmekaa hapa mnadanganyana. Shauri yenu, wake zenu ndo hao tunaona maofisini watu wanasema "yule maza anatoka na ki Ben10 huwa anaenda nacho safari za kikazi"
 
unajua suala hapa hata elimu pia ni tatizo, wanawake wengi hawana sex education, wanachukulia uhitaji wa sex walio nao ni kama sisi.

Endapo kama wangekuwa na elimu hiyo wangefahamu kabisa hawafanani hata kidogo na sisi kwenye hitaji la ngono.

yapasa wafahamu kuwa our testosterone(sex driving factor) level is normally 20 times higher than that of women and it's what makes us nymphomaniac(sex always in demand and less controllable) tofauti na wanawake ambao sex kwao ni more controllable and not always in demand.

Wanaume sex ni kama moja wapo ya basic needs kwa sababu za kibailojia. Sasa unamkuta mwanamke anamwambia mme wake eti "jamani si nimekupa tu juzi na leo tena unataka?"..... yaani akilini mwake anaamin kabisa kwa kuwa yeye alikata kiu juzi basi hata na mume wake nae ni hivyo hivyo.

Unakuta muda mwingine ametoka kuoga ana badirisha chupi mbele yako halafu ukimgusa tu utaskia "sitaki fujo" na wakati yeye mwenyewe ndio kakuamshia hisia..hahaha
Hata mie sielewi sijui tunakuwaga na bahati mbaya au ni vipi? Raha ya mwanamke akupe huduma bila kikomo yani jinsi utakavyo. Sasa hapo demu utakuta week nzima unapiga mara 2 ile kitozi tu ila bado analalamika.

Ukianza kutafuta fursa nje unaonekana mshenzi. Oh wanaume hata uwape nini watatoka nje..kasema nani!? Mijanamke mizembe na mivivu ndio chanzo most loyal men wanakuwa spoit na wanawake wazembe halafu lawama wanabebeshwa ME wote.
 
Kabisa hawa wanawake wakishaolewa kutoa papuchi wanatoa kwa masharti magumu sana, huwa nashindwa kuelewa kabisa ila dawa yake inabidi utafute mchepuko ukirudi home unalala tu
 
Back
Top Bottom