Wanawake wakati mwingine michepuko mnaitafuta wenyewe

Wanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread...
Sasa kwani ww unaexpect penzi liwe chachu kwa vile mshavuka uchumba?

Hapo msijitetee kabisa yani maana ili penzi likolee utamu ni lazima mwanamke aoneshe mahaba ya hali ya juu kwa kidume na kuonesha kumuhitaji first. Then kidume atabehave the right way as long as unamvutia in a special way na anapata anachotaka bila complains. Kabla ya ndoa mahaba full wala hamu demand favors ili kuonesha mapenzi.

Thats how you trap us into marrying you ila mkishaolewa yale mliofanya ili kutuvutia tuwaoe yanakata ghafla. Hapo kibao tunageuziwa sisi kwamba hatuleti zawadi wala hatuwatoi out. Sasa utamtoa out mtu ambaye hakuvutii kumtoa out? Ana kiburi na hakupi amani kama awali analazimisha usawa na kuona kama kuku treat vizuri ni kukufanyia favors. Hio two way traffic inakujaga baada ya kuvishwa pete eeh,,acheni visingizio women.

Mbona mchepuko anafanyiwa mazuri kuliko mke tena wala halazimishi inakuwa automatic anapewaga. Ina maana mwanaume ni chizi? Hell no!!!

NB: Hamna mume anayechoka kumpenda mke mwenye hekima na mahaba. Ukiona mzee anasubiria mkewe atie sahihi maamuzi yake ujue ndio kama hivyo yani 😁😁😁
 
Acha tu boss. Nina Mwanamke wangu nampenda na namuhudumia lakini ana kiburi cha kizaliwa wala hafanyi makusudi imebidi nimchunguze mama yake na ni vile vile.

Nimenyoosha mikono
Hawa watu ni pasua kichwa sana.
 
Asilimia 90 ya wanawake kichwani wameweka tu neno NDOA lakini nini cha kufanya baada na ndani ya ndoa is non of their business.
Kwa sababu ninyi ndio mnatulisha sumu kuwa heshima ya mwanamke ndoa kwa hiyo mtu hata kama hapendi ndoa atalazimisha kuolewa ili apate hiyo 'heshima'
 
Wanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread...
Hivi kuna kingine cha kuongezea tena hapa? Umemaliza kila kitu
 
Mke wangu eti anipangie mgegedo!hilo haliwezekani na talaka itamuhusu ndani ya masaa 24
Wakati wa uchumba wanawake wanakuwa viumbe wengine, wazuri na wenye mapenzi, wakati mwingine mwanaume hufanyiwa vitu mpaka unatangaza ndoa bila kujua. Kipindi hiki mapenzi yanakuwa moto moto, kila ukihitaji unapewa, kazi zote unafanyiwa, kumbe ni kampeni ya kuisaka ndoa.

Mara tu mnapoolewa wanawake mnajisahau sana, dharau, viburi, ujuaji, mapenzi zero mbaya zaidi hata kile chakula chetu pendwa unapewa kwa kupangiwa, kila siku mnuno, mvivu, na kutokujali.

Wakati mwingine unaoa ili upate pumziko la mwili na akili pindi ukichoka lakini unajikuta umeingia kwenye moto ambao huzimiki, hivi kweli kwa hali kwanini mwanaume nisitafute mchepuko wa kupata pumziko, bahati nzuri pia michepuko inajua kucare na haina kelele nyingi.

Hebu wanawake jaribuni kutufanyia yale mliyokuwa mnatufanyia enzi za uchumba muone kama tutachepuka, hata tukijaribu nafasi itatusuta.
 
Maisha ya ndoa ni siri kubwa hasa kwa wanaume. Wanaume wengine hasa wa kizazi hiki akishatoa mahali anadhani kuwa kamaliza kila kitu. Hawatimizi majukumu yao kama baba kisa katoa mahali. Anafikiria kummiliki mkewe kuanzia mshahara wake na majukumu ya familia anata mchangie kisa kaoa, kwa kuwa wakati mwingine anajua mke wake ana uwezo wa kufanya hivyo. Tena husiombe mkewe akawa mfanyakazi ni shida tupu.

Mwanaume wa aina hii akirudi jioni anatagemea atapata mapokezi yanayostahili?
Kwahio unataka ku justify nini? Hili swala la kazi mbona linatumika kama ishu sana wakati wengine baba zao walipoyumba kiuchumi mama zao walijitoa muhanga wakaendesha familia bila kuleta dharau kwa wazee wao na wapo humu.

Acheni ubinafsi aisee, kwa akili hizi mume akipata ulemavu hata uji atapikiwa kweli? Mi mwanamke wangu ntaishi nae the old fashioned way na tutakwenda vuzuri tu.

Kama mwanamke hawajibiki kwa lolote kwenye ndoa sidhani kama anastahili kuwepo ndani ya hio taasisi.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom