Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

Aisee hawa viumbe ni changamoto sana,kesi yako ni kama yangu ila kwangu badala ya kunilipa pesa anataka anilipe mapenzi indirect
 
Aisee hawa viumbe ni changamoto sana,kesi yako ni kama yangu ila kwangu badala ya kunilipa pesa anataka anilipe mapenzi indirect
Ha ha ha usithubutu ndugu, kama hataki kukulipa we mwache tu aende zake. Tenda wema nenda zako usingoje shukrani
 
Hayo mazoea ulimjengea mwenyewe tangia mwanzo.
 
Hayo mazoea ulimjengea mwenyewe tangia mwanzo.
Unajua angelita, sikujua kama atafikia mahali hapo, lakini mimi nimetenda wema, singoji shukurani kutoka kwake. Namheshimu kama dada, na sikutaka afike hapo alipofika!
 
Unanikumbusha Chuo aisee yani wanakera they should work hard halafu huyo huyo atapost Instagram akiwa yuko shopping kwa Fetty Pumbavuuu
 
Alikua anakutumia huyo! Urafiki wa mashaka. Afadhani ulimnyima
 
Ha ha ha, mkuu umenifurahisha sana. Mungu atusaidie!
Hawa viumbe wee acha tu!, hata katika majukumu ya kawaida huwa nakaa nao makini sana. Maana wanaweza amua lolote mda wowote, tunavumilia kwasababu ya Utanzania wetu tu basi
Mkuu hyuo dada alitaka akufilisi, hlf hawa wanawake baadhi yao sijui wapoje, yaani hawaoni aibu kabisaaaa kumwomba mwanaume hela, bora hata cc wanaume kuazima hela 2 kutoka kwa dem ambae ni rafiki yako unaona aibu Dundo_Boy
Sasa nimekimbia hata akipiga simu namwambia nipo mbali sana, basi huanza pitia pale supermarket niletee nini sijui.....majibu yangu ni SIJATEMBEA NA HELA....kidogo imeniokoa ametulia
 
Duh! Kumbe tuko wengi me mwenyewe ninapokaa kuna mwalimu anafundisha chekechea katoka uganda nikiludi usku nimeto mishe zangu akisikia nimefika hata kama yumo ndani atatoka haangalie nimebeba nn yani ni shida hawa viumbe imefikia nikiludi usiku naingia gheto kwakunyata. Eti ananisahauli nisioe kwanza ataniletea binti kutoka uganda niishi nae kudadadek
Wako na njia nyingi, akikupokea mzigo anaweka kwake ili asisumbuke kukuomba, ha ha haaaah
 
Aisee... unamzoesha... na hayo mazoea yatafika pabaya sana. Sasa ww kama mwanaume... mpe makavu... mwambie arudishe vitu... vyako.
Nataka nilete mwenzie akae hata wiki moja alafu akishaondoka nimdai kila kitu alichochukua ndani kwangu, na pesa arudishe maana namdai nyingi tu. Angalau akiona mwenzie akiwa anatoka ndani mara anafua nguo mara anadeki najua atatulia na ataacha tabia yake..........Hii plan ikiferi nitamwambia nikiwa na sura ya KIUME KABISA
 
Akili ya mwanamke ni km ya mtoto mdogo,...... kumbuka mtoto mdogo hata km ni mchafu UKIMWAMBIA AOGE lazima anune na akuchukie.
 
Ha ha ha Chiwaso usiwafanyie hivo, hawa ni viumbe dhaifu inatakiwa kuishi nao kwa akili
Ukiwaendekeza itakula kwako, watakutia pressure na watakutia umaskini. Dawa yao ni kuwaendesha kijeshi jeshi.
 
Ha ha ha alijua ipo siku atalipa in kind... kwanza hapo ananuna kwa mengi moja hujamtongoza mbili anahisi umepata demu anamubudumia tatu hujampa pesa na mengine mengi
Naanza kukuelewea Miss Shimboni. Kumbe ndivyo mlivyoooooooooooooooooooooooo. Aaaahhhh Sorry, ndivyo walivyo
 
Duh! Kumbe tuko wengi me mwenyewe ninapokaa kuna mwalimu anafundisha chekechea katoka uganda nikiludi usku nimeto mishe zangu akisikia nimefika hata kama yumo ndani atatoka haangalie nimebeba nn yani ni shida hawa viumbe imefikia nikiludi usiku naingia gheto kwakunyata. Eti ananisahauli nisioe kwanza ataniletea binti kutoka uganda niishi nae kudadadek
achana na waganda watakufilisi
 
ukipata boya jipigie, sasa huyo alikuona wewe boya akitekenya tu imooooooo
 
wanawake sazingine wana vitabia flan amazing kama vitoto vile wewe muangalie wife hapo home na hawa ma-ofisini yaani anaweza kukujengea mazingira flan ambayo atakupeleka nayo sasa ukishamstukia wewe nenda nae vile atakavyo ilimradi haikukost
 
Brother ulikosea ile siku ya kwanza! Mwenzio alishafungua akaunti kwa ajili yako....sasa ataweka nn?
 
Back
Top Bottom