Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

Mkuu pole sana na inasikitisha sana, pesa ni tamu sana na pia ni mbaya sana na haina rafiki, mpenzi, ndugu, humantarian, hekima, busara nk... Pesa inatoa watu roho sembuse kununa, ingawa pia mwanamke ana jinamizi lake hapo..
Ndo hivo mkuu, kaninunia ni balaa,
 
Tatizo la hawa watu huwa wanaona kusaidiwa na mwanaume ni haki yao.ukimyima utasikia,jamaa bahili hili pyuuuu
 
Hawa viumbe hatari sana, mm yupo mwalimu tumezoeana sasa anaingia ndani kama kwake vile kisa kajua bado sijapata wifi, basi kaja kabeba mtungi wa gesi eti hajawahi kuniona nikipika, kabeba na baadhi ya vyombo vya mapishi....yaani mm naandaa kumleta bibie ili akute kuna kila kitu yeye anahamishia kwake. yeye ana mtoto ila hana mume, yaani shida aisee....kuna chenji nawekaga mezani sasa akifika nazo anakomba, akikuta juice anabeba hata kama bado sijafungua yaani hata kama sijanywa hata glass moja yeye anabeba. Wadau wakanishauri tumalizane naye lakini nimekataa maaana atanifanya baba wa mtoto wake na itakuwa shida. HAWA VIUMBE HAPANA AISEE!!!! Pole sana ndg yangu, kumbe tupo wengi
Gegeda mkuu
 
Back
Top Bottom