Uchokozi huo binamu,sisi mambo ya ulijendi yamepita kushoto kidogo,Preasure zilizopo kwenye sihasa na michezo ya nchi hii,zimezidi.kwa hiyo sisi tuna relax tu kule kwenye MMU.
Ukija huku kila mara majibizano na aibu za kufungwa kwa taifa staz.Na kama unavojua sifa kuu ya mama ni upendo na huruma ndio maana tunawafundisha watu wawe na upendo kule kwenye MMU.Wakiiva kule kwenye familia tuna uhakika watakuwa viongozi wazuri na wanamichezo wazuri.
Wakati wanakuwa naona hara lede, netball au kimama mama hawakucheza kabisa ndo maana hawataki micho.
Wakati wanakuwa naona hara lede, netball au kimama mama hawakucheza kabisa ndo maana hawataki micho.
Hahaha! Madhara ya miksa hayo. Nadhani ulimaanisha michezo!
Halafu nasikia kama hukucheza,lede,kimamamama na kibabababa wakati wa utoto huwa inajirudia ukiwa mkubwa,eti lazima ucheze hata kama una watoto.Hivi kuna ukweli hapa?mpwa uchokozi huo yaani sisi hatkucheza hata kimama basi tumekuwa tina 'tana'
mpwa uchokozi huo yaani sisi hatkucheza hata kimama basi tumekuwa tina 'tana'[/QUOTE]
jamani una balaa wewe, nimecheka mpaka bac...
Mpwa nina hang over hapa balaa mambo ya blue monday haya
mpwa uchokozi huo yaani sisi hatkucheza hata kimama basi tumekuwa tina 'tana'[/QUOTE]
jamani una balaa wewe, nimecheka mpaka bac...
mtu mzima alianza kurudia ya utoto ambayo hakuyafanya lol! ZD anashangaa!! precedent ndo huyo bi mkubwa Tina
Mpwa nina hang over hapa balaa mambo ya blue monday haya
ckukuelewa my dia,kumbe haya mambo ni kweli? hebu nipe details hutu tina tana ilikuwaje?mtu mzima alianza kurudia ya utoto ambayo hakuyafanya lol! ZD anashangaa!! precedent ndo huyo bi mkubwa Tina