Wanawake wamepewa hadhi kubwa na mwenyezi MUNGU ya kutuzaa lakini baadhi yao akili zao haziwatoshi. Mwanamke akiwa na mapaja mazuri atataka dunia nzima wajue kuwa amejaaliwa mapaja ya kihivyo. Akiwa na mgongo mzuri atavaa nguo ambazo zinaonesha kuwa mgongo wake mashallah MUNGU kampendelea, akiwa na matiti mazuri na yaliyo simama kama kigori usitegemee avae bra huyo, yaani ndivyo walivyo.